Ndio, nilisoma diploma. Baada ya kuapply nililetewa ujumbe huo huo, nikafanya kama ndugu yangu alivyoshauri na nashukuru nikachaguliwa round hiyo ya kwanza
Ndio, nilisoma diploma. Baada ya kuapply nililetewa ujumbe huo huo, nikafanya kama ndugu yangu alivyoshauri na nashukuru nikachaguliwa round hiyo ya kwanza
Naomba kufahamu wakati unafanya application, je uliweka cheti chako cha diploma au transcript ya matokeo, sababu mm sina cheti ila naweza kupata transcript chuoni, naomba nijulishe ndugu
Naomba kufahamu wakati unafanya application, je uliweka cheti chako cha diploma au transcript ya matokeo, sababu mm sina cheti ila naweza kupata transcript chuoni, naomba nijulishe ndugu