Mzumbe wameniletea ujumbe huu hapa

ombeni34

Member
Joined
Aug 17, 2020
Posts
44
Reaction score
15
Nimemaliza diploma, na nimeapply vyuo viwili Mzumbe na MoCU, ila mzumbe wameniletea ujumbe huu hapa
 
Unaonekana ulishawahi kuomba chuo na ukachaguliwa. Jaza fomu ya TCU uiwasilishe hicho chuo wakufute kabla ya kuomba upya
 
Mkuu wewe ulisomaga diploma?? Na je ulichaguliwa mzumbe??
Ndio, nilisoma diploma. Baada ya kuapply nililetewa ujumbe huo huo, nikafanya kama ndugu yangu alivyoshauri na nashukuru nikachaguliwa round hiyo ya kwanza
 
Ndio, nilisoma diploma. Baada ya kuapply nililetewa ujumbe huo huo, nikafanya kama ndugu yangu alivyoshauri na nashukuru nikachaguliwa round hiyo ya kwanza

Naomba kufahamu wakati unafanya application, je uliweka cheti chako cha diploma au transcript ya matokeo, sababu mm sina cheti ila naweza kupata transcript chuoni, naomba nijulishe ndugu
 
Naomba kufahamu wakati unafanya application, je uliweka cheti chako cha diploma au transcript ya matokeo, sababu mm sina cheti ila naweza kupata transcript chuoni, naomba nijulishe ndugu
Unaweka cheti cha diploma... pamoja na AVN unayotakiwa kuipata kutoka NACTE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…