Mzimu wa Zitto waanza kuimaliza CHADEMA

Mzimu wa Zitto waanza kuimaliza CHADEMA

Status
Not open for further replies.

Jadi

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2011
Posts
1,494
Reaction score
864
Sio siri watakuja hapa na Mapovu yao wanaomtetea Mbowe lakini ni dhahiri kushindwa vibaya kwenye uchaguzi wa kata ni matokeo ya kumuweka Zitto pembeni, na zaidi mtaona kwenye uchaguzi wa Urais na wabunge ujao, daftari kitu gani?mbona wengi waliowachagua zamani ndo wamepiga na leo?ina maana walikufa walioipenda CHADEMA peke yake?wa CCM wamebaki?ondoeni visingizio vya kitoto na mumuangukie Zitto. Huu ni mfano wa Ufanisi sifuri kwani gharama kubwa sana imetumika na huyo Mbowe lakini tumeambulia patupu. Hapo akili haikutumika bali kichwa peke yake na wengine wote mlifata, sasa tunadaiwa bela za chopa na uchaguzi tumeshindwa. Najua moderators wanaweza kuutoa uzi huu kwa sababu wanazozijua wao, lakini naomba muuache watu wachangie na msiuunganishe tafadhari.
 
Niwahi kusema hapa kuwa zitto ni mzitto hawakumjua vema bali walikurupuka naye sasa akianza kazi yake sijui wataishia wapi make wamevurugwa na zitto hajaanza sijui akianza itakuwaje.
 
Wai Lumumba..
Ondoa banzi jichoni mwako (Lowassa) ndipo upate kuona vyema..
Povu lakutiririka CDM CDM... Utaisoma tu, Kama Zitto ni jembe, aanzishe chama kama alivyoshauriwa na wana Kigoma na sio Kung'ang'ania CDM
 
Jadi unaweza kufafanua zaidi ni kwa namna gani zzk anahusika na matokeo mabaya iliyopata cdm kwenye chaguzi hizi?
 
Wao chadema wanadhani siasa ni kuangaliana usoni na udugu sasa moto u kichwani mwao make walidhani wanajua kumbe wanaungua jua.
 
Sio siri watakuja hapa na Mapovu yao wanaomtetea Mbowe lakini ni dhahiri kushindwa vibaya kwenye uchaguzi wa kata ni matokeo ya kumuweka Zitto pembeni, na zaidi mtaona kwenye uchaguzi wa Urais na wabunge ujao, daftari kitu gani?mbona wengi waliowachagua zamani ndo wamepiga na leo?ina maana walikufa walioipenda CHADEMA peke yake?wa CCM wamebaki?ondoeni visingizio vya kitoto na mumuangukie Zitto. Huu ni mfano wa Ufanisi sifuri kwani gharama kubwa sana imetumika na huyo Mbowe lakini tumeambulia patupu. Hapo akili haikutumika bali kichwa peke yake na wengine wote mlifata, sasa tunadaiwa bela za chopa na uchaguzi tumeshindwa. Najua moderators wanaweza kuutoa uzi huu kwa sababu wanazozijua wao, lakini naomba muuache watu wachangie na msiuunganishe tafadhari.
we akili yako inaelekea ulipata ajali utotoni.sasa nani mshindi hapo maana cdm kimechukua kata moja ya ccm na ccm hakijaweza kuchukua hata moja ya cdm.zito kashafilisika kisiasa akaolewe kwa kina cameroon
 
Ivi zito ndio nani bana Nawashangaa mnaishutumu chadema eti kisa mgogoro wa Zitto!? Kwani bila zitto chadema itakufa Sahauni kabisa hiyo kitu Naweza kusema zito hakuna aloicho kigarimu Chadema hayo maneno yenu tu walala hoi mtabaki kudanganyana Kama ni ushindi wameshinda kihalali tu bana.... Na hata hivo sio lazima Chadema ishinde Ikulu 2015 Harakati zinaendelea ikulu itatinga tu
 
Toka Zitto akiwa kiongozi bado matokeo ya kila uchaguzi yalikuwa hayaridhishi hivyo hakuna kilichobadilika.

2015 ndio hiyo kesho tu na tutaendelea kupeana moyo kuwa tumeshajua mbinu za wizi za CCM?

Hivi CCM itang'oka madarakani bila kuwa msingi wa kueleweka huko chini?
 
Mbona jimboni kwa Zitto kuna madiwani wasiozdi wawili wa CDM?
Na idadi imekuwa ikipungua tangu awe mbunge wa KK.
Zitto si lolote kwa sasa,achana na habari za kuamini "mizimu",tunadunda ndani ya Yesu sasa.
 
Hyper Yesu anasema usitaje bure jina la Mungu wako. Yesu hajafundisha kuishi kama mnavyoishi kwenye chama.unahitaji sana kuombewa na kujitambua kwa hili ili muweze kuwa watetezi wa kweli wa wananchi wa Tz. Vinginevyo mmmmmmm.kijani tuuu
 
U will know who he is come2015. Mlimu underestimate bwa mdogo,but u gonna pay the price big time!! That's the reality. U have no idea how many supporters wameipuuza CDM.

Mpeni kadi ya CCM mteueni awe mbunge wa viti maalum na mkiona inafaa mpeni hata cheo cha kukaimu nafasi ya Urais
 
Kuwa naakili ya kufikiri zaidi kwamfano sombetini kuna wapiga kura elfu 24 walio piga kura hawafiki elfu 5 akili zakuambiwa changanya na zako.
 
mwenyewe mwanachadema lkn kwa kinachoendelea ndan ya chama n angalau niwape wengne kulko hki chama mpaka pale mbowe atakapoachia uenyekit wachama na ukanda kuisha ndan ya chama
 
Sio siri watakuja hapa na Mapovu yao wanaomtetea Mbowe lakini ni dhahiri kushindwa vibaya kwenye uchaguzi wa kata ni matokeo ya kumuweka Zitto pembeni, na zaidi mtaona kwenye uchaguzi wa Urais na wabunge ujao, daftari kitu gani?mbona wengi waliowachagua zamani ndo wamepiga na leo?ina maana walikufa walioipenda CHADEMA peke yake?wa CCM wamebaki?ondoeni visingizio vya kitoto na mumuangukie Zitto. Huu ni mfano wa Ufanisi sifuri kwani gharama kubwa sana imetumika na huyo Mbowe lakini tumeambulia patupu. Hapo akili haikutumika bali kichwa peke yake na wengine wote mlifata, sasa tunadaiwa bela za chopa na uchaguzi tumeshindwa. Najua moderators wanaweza kuutoa uzi huu kwa sababu wanazozijua wao, lakini naomba muuache watu wachangie na msiuunganishe tafadhari.

Kachukue familia yako yote mkamwangukie ZZK ajiunge CCM na sio kutuletea ndoto zako za alinacha hapa
 
Wai Lumumba..
Ondoa banzi jichoni mwako (Lowassa) ndipo upate kuona vyema..
Povu lakutiririka CDM CDM... Utaisoma tu, Kama Zitto ni jembe, aanzishe chama kama alivyoshauriwa na wana Kigoma na sio Kung'ang'ania CDM

Angeeleza iwapo CHADEMA kuna ilichopoteza. Sehemu nyingi imeongeza Kura maradufu tofauti na 2010 na atambue tu kwamba Hata Kata ya Sombetini iliyochukuliwa Arusha na CHADEMA ilikuwa ni Kata ya CCM kwa hiyo aliyepoteza ni CCM na siyo CHADEMA.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom