Mzigo inayopokelewa posta

Mzigo inayopokelewa posta

Joined
Mar 28, 2017
Posts
30
Reaction score
12
Habari JF

Naomba kufahamu kuhusu makato ya kupokea mzigo kupitia POSTA

Je kati ya DHL na Posta wapi kuna gharama kubwa zaidi ?

Natanguliza shukrani
 
DHL kama wako juu zaidi

Changamoto wale watu wao wa derivary hasa waendesha pikipki wana majibu kunya sana baadhi yao
 
Back
Top Bottom