Kwa kawaida tunasema"Chema hakidumu"
Mzee wangu kusema Viongozi wazuri hawafi ni uongo mtupu.
Hii ni njia inayotumika sana na WALAMBA ASALI ili kumpumbaza Mama, na hivyo aendelee kuwapa nyadhifa ndani ya Chama na Serikali ili malengo yao yaendelee kutumia.
Kwa sasa Mama wanampeleka watakavyo. Hali hii ikiendelea, Nchi hii itakuwa shamba la Bibi mara mia zaidi.
Rai yangu kwa Mama ni kwamba, kama kweli anataka kuleta usawa na maendeleo katka Nchi, asiwasikilize sana wanaomsifia kila uchao.
Mara wanampa Heshima ya udaktari, hiyo yote ni mikakati ya MAJIZI ili aendelee kuwapa nyadhifa.
Mama akitaka kufanikiwa kuondoa dhuluma na kuleta usawa katika Nchi hii, awasikilize zaidi wanaomchallenge hadharani na Watanzania wanyonge/maskini.
Akiwasikiliza walioshiba, watampa sifa za kila aina kwa nyakati tofauti tofauti ili waendelee kula.
NB:- Mungu ni mkubwa sana. Ipo siku ukombozi wa kweli katika Nchi hii utapatikana tu.
Mzee wangu kusema Viongozi wazuri hawafi ni uongo mtupu.
Hii ni njia inayotumika sana na WALAMBA ASALI ili kumpumbaza Mama, na hivyo aendelee kuwapa nyadhifa ndani ya Chama na Serikali ili malengo yao yaendelee kutumia.
Kwa sasa Mama wanampeleka watakavyo. Hali hii ikiendelea, Nchi hii itakuwa shamba la Bibi mara mia zaidi.
Rai yangu kwa Mama ni kwamba, kama kweli anataka kuleta usawa na maendeleo katka Nchi, asiwasikilize sana wanaomsifia kila uchao.
Mara wanampa Heshima ya udaktari, hiyo yote ni mikakati ya MAJIZI ili aendelee kuwapa nyadhifa.
Mama akitaka kufanikiwa kuondoa dhuluma na kuleta usawa katika Nchi hii, awasikilize zaidi wanaomchallenge hadharani na Watanzania wanyonge/maskini.
Akiwasikiliza walioshiba, watampa sifa za kila aina kwa nyakati tofauti tofauti ili waendelee kula.
NB:- Mungu ni mkubwa sana. Ipo siku ukombozi wa kweli katika Nchi hii utapatikana tu.