Huyu masaburi ni wa ajabu sana, ameacha mdahali dakika ya mwisho kwa kukimbilia kula futari wakati hata kufunga hajafunga, MLAFI wa hali ya juu na ndio maana hata haya mambo yanatokea, hivi na huko ikulu kuna maofisa wa namna gani wasioweza kujua mipango ya nchi wanakurupuka, huku wakiijua wazi watendaji wa JK ni wapumbavu na vilaza wakubwa. kwani kwa kuwa wanamjua masaburi mlafi wasimtoe kwenye list ya waalikwa maana tangazo lilishakua limetoka wiki nzima shit hawa watu tuwaondoke madarakani mapema iwezekanavyo. wananchi wa dar huyu masaburi hatufai kabisa ni wizi wizi wizi tangu wa kura mpaka leo hii kauza shirika letu tumpige vita kwa kila namna.