Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,300
- 33,920
Mimi nilishiriki kwenye Kampeni zile na ninajua si kwa sababu za ukabila. Kwani Kitine alishindwa kwa kura ngapi? Na mwaka 1996 aliposhinda Ubunge wa Makete mbona alikuja Iringa kushukuru?Kitine alishindwa kwa sababu za ukabila na ndio sababu baadae alienda kugombea kwao Makete!