Mzee Mkinga katika Mjadala wa ELIMU.

Jul 24, 2015
80
38
Katika kipindi cha Tuongee Asubuhi Mzee Mkinga (Mwanaharakati) amekichambua kitabu cha Historia dalasa la NNE na SITA anasema hakuna kilicho sahihi. Wanahistoria tu naomba ufafanuzi mliomsikiliza !
 
Katika kipindi cha Tuongee Asubuhi Mzee Mkinga (Mwanaharakati) amekichambua kitabu cha Historia dalasa la NNE na SITA anasema hakuna kilicho sahihi. Wanahistoria tu naomba ufafanuzi mliomsikiliza !
Inamaana alivyo sema hivyo ameishia hapo hapo.
 
Mganga njaaa huyo....haeleweki,ni bora uendeshe gari iliyokata stelingi kuliko kumwamini au kumsikiliza huyo
 
Back
Top Bottom