Ni filamu inayomuhusu kijana LIBERT, ameamua kufanya kazi kama "HOUSE BOY", cheki alivyo fuatiliwa saana na wa dada na hata akina mama wote pale nyumbani! *MOVIE NZURI SANA* Elizabeth lulu michaellShilole Wema Sepetu
Habari za leo
Tamthilia mpya ya kiswahili inaitwa "DHAMIRA" ni story inayo onyesha watu kijijini na mjini, jinsi wanavyo pigana kuboresha maisha yao katika mazingira na hali ngumu. Ni story yenye, action, mapenzi, uchawi na mengi zaidi! USIKOSE!
Waigizaji ; Jumaa Mtima, Prosper Kire, Halima Mualid, Asha Saidi, Yahaya Haisu, Christina Zakariah Na Tariq Ramadhani