M mmaroroi JF-Expert Member May 8, 2008 2,960 544 Oct 14, 2011 #1 Je anachoeleza ndicho anachoishi na kuamini?
Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Nov 25, 2010 62,204 128,021 Oct 14, 2011 #2 mmaroroi said: Je anachoeleza ndicho anachoishi na kuamini? Click to expand... Mkuu wengine tupo mbali na itv, fanya udodose wanachonena hao jamaa tafathali.
mmaroroi said: Je anachoeleza ndicho anachoishi na kuamini? Click to expand... Mkuu wengine tupo mbali na itv, fanya udodose wanachonena hao jamaa tafathali.
M mmaroroi JF-Expert Member May 8, 2008 2,960 544 Oct 14, 2011 Thread starter #3 Daudi mchambuzi said: Mkuu wengine tupo mbali na itv, fanya udodose wanachonena hao jamaa tafathali. Click to expand... Anaelezea maisha ya Nyerere kama ilivyo kwenye maadishi yake na kuyasadiki lakini siamini kama anayoyasema ndio anayoyaishi.
Daudi mchambuzi said: Mkuu wengine tupo mbali na itv, fanya udodose wanachonena hao jamaa tafathali. Click to expand... Anaelezea maisha ya Nyerere kama ilivyo kwenye maadishi yake na kuyasadiki lakini siamini kama anayoyasema ndio anayoyaishi.
M mmaroroi JF-Expert Member May 8, 2008 2,960 544 Oct 14, 2011 Thread starter #4 Amehitimisha kwa kutaka Nyerere day iwe siku ya kuzaliwa kwake(Nyerere) tarehe 13/04/1922.Na tarehe 14/10/1999 iwe tu kukumbukia siku ya kufariki kwa Mwalimu Nyerere.
Amehitimisha kwa kutaka Nyerere day iwe siku ya kuzaliwa kwake(Nyerere) tarehe 13/04/1922.Na tarehe 14/10/1999 iwe tu kukumbukia siku ya kufariki kwa Mwalimu Nyerere.