Mzee chama anakwama wapi mechi kubwa?

Khalifavinnie

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2017
Posts
2,849
Reaction score
2,442
Kiukweli inanishangaza sana huyu chama mechi kubwa anakuwa kama panya aliye toswa kwenye bakuli la maji kalowa,hajiwezi kabaki kutapa tapa,shida ni nini uzee au pensheni zimemzidia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…