jamani ni kweli kwamba kufaulu kwa mwanafunzi kunamuongezea mzaz au mlez matatizo???? kwasababu kuna wazazi wengine hufurahia kabisa kufeli kwa mwanae ili kukwepa mambo yaada/karo ya shule kwa kusema anaongeza umaskini...na kama wapo ungependekeza saerikali imchukulie hatua ani??