mzazi na mwanafunzi(mwanae)

mzazi na mwanafunzi(mwanae)

jbrown

Member
Joined
Jan 16, 2013
Posts
6
Reaction score
3
jamani ni kweli kwamba kufaulu kwa mwanafunzi kunamuongezea mzaz au mlez matatizo???? kwasababu kuna wazazi wengine hufurahia kabisa kufeli kwa mwanae ili kukwepa mambo yaada/karo ya shule kwa kusema anaongeza umaskini...na kama wapo ungependekeza saerikali imchukulie hatua ani??
 
Elimu ya msingi, sekondari na ngazi zote za diploma itolewe bure-Katiba itamke hivyo. Hii itasaidia kutowapa mwanya wazazi wenye nia ya kuwaachisha watoto wao shule kwa kisingizio cha ugumu wa maisha kufuatia karo. Pia serikali ijenge uweze wa wananchi kupata fedha siyo kuwapa uwezo huo watu wachache wenye madaraka (mafisadi) wengine wakabaki vidampa
 
Back
Top Bottom