Hivi mnadhan kuchukua ubingwa back to back 4yrs mchezo ee?
Mzamiru mnayembeza Leo ndyo aliyetufikisha robo fainal 2 CAF CHAMPION LEAGUE
na ubingwa Tanzania Mara 4 Azam 2
Tuwe na shukran jaman Kama alitupatia raha mda wote tumfariji pia. Kipind hiki kigumu wanachopitia wavhezaj wetu
Mbona Liverpool wamekaa miaka 30 bila ubingwa man u unaenda mwaka wa 10 huu arsenal mwakanwa 20 huu lakn mmevumilia
Leo mzamiru mwez TU mnamkashifu
PROJECT YA SIMBA IMEFIKA KIKOMO VIONGOZI WALIANGALIE HILI
Kuanza upya kutengeneza timu si ujinga
Sent from my TECNO F1 using
JamiiForums mobile app