Hawana ofice na pia hawapo hata kwenye mtandao kusema unaweza kupata taarifa zao!Tena hawana ndo wale mawakala wasiosajiliwa na hawatakiwi na serikali...me mwenyewe nilienda leo,kufika pale reception namuuliza mzalendo recruitment company wako wapi office zao,,akanambia floor ya 4 but ni foreverliving..My God nikashikwa na butwaa vile siwapendi hao wadudu..nikamwambia ngoja nikawasuuze kidogo.....na wameipata leo..