My Ex Angel From GAS CITY

My Ex Angel From GAS CITY

Kijana wa kiume msimamo,achana naye kabisa na ikiwezekana block namba yake,na mchane kuwa humtaki kwa sasa,watoto wawili amezaa na huyo bhana bado unakutaka nn mkuu,fyekelea mbali sana
Pamoja Sana Kiongozi
 
Naanza kupata ukakasi na degree za UDSM,kuandka kiswahili ni shida kiasi hicho,vipi kwa lugha ya malkia mkuu?
Inawezekana alichosema Dk.Shule kina ukweli ndani yake,kuna degree za boxer pia pale UD,ikiwemo ya mtoa mada.
Anyway pole sana mkuu,umefanya uamuz wa busara sana,na kamwe ucmpe second chance huyo msaliti,kama m2 ana watoto wawil means n muda mrefu umepta toka mmetengna,na ushazoea hali,move on with yo life nigga!
Hivi vitu Havina Uhusiano Kabisa,
Isitoshe Kiswahili ni Lugha Tu
 
Lol, kwa mujibu wake ni muhitimu wa UD ngoja tuamini hilo.

Ukiona mtu anaanza kumsifia Ex wake ni mzuri kwa bed ujue bado amekamatika, hapo ushauri utakaomfaa ni 'follow your heart but take your brain with you'
Mawazo Huru
 
Muhitimu wa UDSM Unajuha sana kuandika, ila sijahelewa hapo mwisho ulivyouliza maamuzi uliyochukua ni sahihi au ulikosea? maamuzi ya kumuacha aolewe au maamuzi ya kutokwenda kumuona Landmark au maamuzi gani?
Hahahhaah yaan anajuha hadi anapitiliza
 
Back
Top Bottom