msolopaganzi1954
JF-Expert Member
- Nov 20, 2018
- 763
- 379
- Thread starter
- #21
Thanks Ndugu, kanipotezea Muda sanaUlifanya sahihi
Pole
Thanks Ndugu, kanipotezea Muda sanaUlifanya sahihi
Pole
Ahsante Sana, UbarikiweMaamuzi sahihi kabisa tafuta wako. Mungu atakuandalia anayefanana na wewe
Kuhisahau Ngumu MadamMhhh unataka kusema nn
Pamoja Sana KiongoziKijana wa kiume msimamo,achana naye kabisa na ikiwezekana block namba yake,na mchane kuwa humtaki kwa sasa,watoto wawili amezaa na huyo bhana bado unakutaka nn mkuu,fyekelea mbali sana
Alinizingua Sana AiseeeeeeUle usemi wa "karma is a bitch" siyo mchezo wanasema malipo ni hapa hapa ulimwenguni mbinguni kulia manamba na kukatwa vibangala!
No Mkubwa, Nimefanikiwa kutoka kakaHicho kichwa cha uzi tu kinaonyesha bado umekamatwa,hakuna cha kukushauri hapa ulishazama na utaendelea kuzama.
Hivi vitu Havina Uhusiano Kabisa,Naanza kupata ukakasi na degree za UDSM,kuandka kiswahili ni shida kiasi hicho,vipi kwa lugha ya malkia mkuu?
Inawezekana alichosema Dk.Shule kina ukweli ndani yake,kuna degree za boxer pia pale UD,ikiwemo ya mtoa mada.
Anyway pole sana mkuu,umefanya uamuz wa busara sana,na kamwe ucmpe second chance huyo msaliti,kama m2 ana watoto wawil means n muda mrefu umepta toka mmetengna,na ushazoea hali,move on with yo life nigga!
Unanishangaa Mimi? Basi nimesoma Kwa Simba miezi mitatuHivi ni kweli huyu amesoma udsm miaka 3?
Halafu humu jf wanaume wote wanawake wao mafundi kitandani na wazuri.
Mawazo HuruLol, kwa mujibu wake ni muhitimu wa UD ngoja tuamini hilo.
Ukiona mtu anaanza kumsifia Ex wake ni mzuri kwa bed ujue bado amekamatika, hapo ushauri utakaomfaa ni 'follow your heart but take your brain with you'
Nishatoka mkuuBaada ya kuzaa watoto 2 nje ndo anakutafuta...Ila tuweke akiba ya maneno upo uwezekeno watarudiana hawa maana tumeona mtoa mada akimsifia kama ni fundi balaa!!
ExactlySometimes wanawake bhana,yani wanakuua hivi hivi na pressure
Exactly
Hahahhaah yaan anajuha hadi anapitilizaMuhitimu wa UDSM Unajuha sana kuandika, ila sijahelewa hapo mwisho ulivyouliza maamuzi uliyochukua ni sahihi au ulikosea? maamuzi ya kumuacha aolewe au maamuzi ya kutokwenda kumuona Landmark au maamuzi gani?