msolopaganzi1954
JF-Expert Member
- Nov 20, 2018
- 763
- 379
.....Ndugu wana JF, leo nimejiona ni share kidogo True story ya maisha yangu ambayo nahitaji Ushauri au Masaada wa kitabibu.
..Nilijiunga Chuo kikuu (Udsm) 2008...nikiwa mwaka wa kwanza nilipata kitoga Cha mwaka wa Pili,
...Tulianza mapenzi motto Sana, kila Mara naenda Rum kwake nae anakuja Rum kwangu pale Mabibo Hostel, Koz yake ilikuwa miaka minne yangu miaka Mitatu. HIVYO kihesabu tulimaliza mwaka mmoja.
....Rafiki zake Wengi walikuwa Hawapendi urafiki wetu, Coz may b nilikuwa first year au sikuwa na mizigo.
..Akanishauri Nipange chumba Out of Campass, Ili kipindi cha Likizo tuwe Tunajichimbia maghetoni.. Nikafanya hivyo, nikapanga chumba karibu na Nyumbani kwetu, kwani Mimi wazazi wangu walijenga hapa Dar, na yeye Kwao Mtwara mjini karibu na Hospital ya Mkoa.
...Tulinunua vitu vya Chumbani pamoja mpaka Ghetto likakamilika mazima..Tukamaliza Chuo,tukarudi Ghetto, yeye alikataa kurudi kwao mtwara, Coz Maisha yalikuwa Tait Sana, So Tukawa tunaishi kwa Msaada wa wazazi wangu, kwani walimkubali Sana.
...Ghafla nikapigiwa simu na mwanangu mmoja, kuwa Gazeti LA mwanannchi kuna post za kazi zimetoka, nikanunua, nikakuta nafasi za Assistance Tortorial anaitajika Chuo kimoja cha Serikali tena kikubwa but nje ya Dar, na ni koz ya Yule manzi wangu, nikamshauri Aombe, mwanzo alisita but akaja kukubali, Akajaza Baada ya three weeks wakampigia Simu aende kufanya Interview?
.....Nauli sasa ikawa kimbembe, nikampanga Bi mkubwa akanipa,Bibie nikamsindikiza mpaka Ubungo akaenda, then akarudi, na Akawa kapata Kazi,
...Siku anayoondoka kwenda Kazini mkoa, Nakumbuka tuko Ubungo Terminal Mrembo Analia Sana, nami machozi yananilenga, but ananiambia anaendea kutengeneza mazingira,
Kumbuka Mimi hapo bado Sijapata kazi Rasmi, but nafanya za Kuunga unga Tu,
Mrembo baada ya kuondoka, Zikapita wiki, mwezi, akaanza kubadilika mazima, SMS ya asubuhi anakujibu Usiku, na anakuambia Ubize wa kazi, Mara apokei simu Mara anazima simu saa moja Usiku Mara Nikimtumia email Hajibu, ilimladi tu ilawa Chenga chenga, dah Nilivurugwa Sana mzee Baba,
...Jumamosi moja hivi Niko Leaders kwenye Bonanza Inaingia sms kwa simu yangu toka kwa mrembo wangu from Gas City,
Sikuamini, ananiambia Tuachane, Aoni FUTURE kwangu, na ameshapata Mtu WA Kumuoa.
Nilichoka Sana Nusura Nianguke Chini.
..Kweli akaolewa na Mwalimu mwenzie hapo chuoni, Wakazaa watoto wawili, baadae anakuja kugundua jamaa ana mke kwao na ana watoto 3,pia jamaa jamaa kamshawishi wamekopa pesa kupitia Account za mrembo wangu, alafu jamaa cha pombe mbaya,
....Nilibadilisha namba ya simu, sababu ya kuvurugwa, but Juzi Kati Mrembo Yule kanipigia Simu Uku analia na kuniomba msamaha kwa yote aliyonifanyia, na alikuwa Dar kwenye Seminar Flan Pale Landmark UBUNGO,
KIUKWELI sikumuelewa kabisa na wala Sikuenda Kama alivyotaka.
NB:Najuha Mimi yamenikuta hivi, ila Naamini wanaume wenzangu yapo yaliyowakuta Kama hili au Zaidi ya Hili.
#Lakini Alikuwa Fundi Balaaah, Si Unajuha mambo ya Korosho City tena?
#Maamuzi Niliyofanya ni Sahihi au Nilikosea?
Thanks
..Nilijiunga Chuo kikuu (Udsm) 2008...nikiwa mwaka wa kwanza nilipata kitoga Cha mwaka wa Pili,
...Tulianza mapenzi motto Sana, kila Mara naenda Rum kwake nae anakuja Rum kwangu pale Mabibo Hostel, Koz yake ilikuwa miaka minne yangu miaka Mitatu. HIVYO kihesabu tulimaliza mwaka mmoja.
....Rafiki zake Wengi walikuwa Hawapendi urafiki wetu, Coz may b nilikuwa first year au sikuwa na mizigo.
..Akanishauri Nipange chumba Out of Campass, Ili kipindi cha Likizo tuwe Tunajichimbia maghetoni.. Nikafanya hivyo, nikapanga chumba karibu na Nyumbani kwetu, kwani Mimi wazazi wangu walijenga hapa Dar, na yeye Kwao Mtwara mjini karibu na Hospital ya Mkoa.
...Tulinunua vitu vya Chumbani pamoja mpaka Ghetto likakamilika mazima..Tukamaliza Chuo,tukarudi Ghetto, yeye alikataa kurudi kwao mtwara, Coz Maisha yalikuwa Tait Sana, So Tukawa tunaishi kwa Msaada wa wazazi wangu, kwani walimkubali Sana.
...Ghafla nikapigiwa simu na mwanangu mmoja, kuwa Gazeti LA mwanannchi kuna post za kazi zimetoka, nikanunua, nikakuta nafasi za Assistance Tortorial anaitajika Chuo kimoja cha Serikali tena kikubwa but nje ya Dar, na ni koz ya Yule manzi wangu, nikamshauri Aombe, mwanzo alisita but akaja kukubali, Akajaza Baada ya three weeks wakampigia Simu aende kufanya Interview?
.....Nauli sasa ikawa kimbembe, nikampanga Bi mkubwa akanipa,Bibie nikamsindikiza mpaka Ubungo akaenda, then akarudi, na Akawa kapata Kazi,
...Siku anayoondoka kwenda Kazini mkoa, Nakumbuka tuko Ubungo Terminal Mrembo Analia Sana, nami machozi yananilenga, but ananiambia anaendea kutengeneza mazingira,
Kumbuka Mimi hapo bado Sijapata kazi Rasmi, but nafanya za Kuunga unga Tu,
Mrembo baada ya kuondoka, Zikapita wiki, mwezi, akaanza kubadilika mazima, SMS ya asubuhi anakujibu Usiku, na anakuambia Ubize wa kazi, Mara apokei simu Mara anazima simu saa moja Usiku Mara Nikimtumia email Hajibu, ilimladi tu ilawa Chenga chenga, dah Nilivurugwa Sana mzee Baba,
...Jumamosi moja hivi Niko Leaders kwenye Bonanza Inaingia sms kwa simu yangu toka kwa mrembo wangu from Gas City,
Sikuamini, ananiambia Tuachane, Aoni FUTURE kwangu, na ameshapata Mtu WA Kumuoa.
Nilichoka Sana Nusura Nianguke Chini.
..Kweli akaolewa na Mwalimu mwenzie hapo chuoni, Wakazaa watoto wawili, baadae anakuja kugundua jamaa ana mke kwao na ana watoto 3,pia jamaa jamaa kamshawishi wamekopa pesa kupitia Account za mrembo wangu, alafu jamaa cha pombe mbaya,
....Nilibadilisha namba ya simu, sababu ya kuvurugwa, but Juzi Kati Mrembo Yule kanipigia Simu Uku analia na kuniomba msamaha kwa yote aliyonifanyia, na alikuwa Dar kwenye Seminar Flan Pale Landmark UBUNGO,
KIUKWELI sikumuelewa kabisa na wala Sikuenda Kama alivyotaka.
NB:Najuha Mimi yamenikuta hivi, ila Naamini wanaume wenzangu yapo yaliyowakuta Kama hili au Zaidi ya Hili.
#Lakini Alikuwa Fundi Balaaah, Si Unajuha mambo ya Korosho City tena?
#Maamuzi Niliyofanya ni Sahihi au Nilikosea?
Thanks