Mwongozo wa kupata namba ya mita ya luku

Mwongozo wa kupata namba ya mita ya luku

mjoli wa kweli

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2017
Posts
630
Reaction score
388
Habarini za mchana.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba mwongozo wa kupata mita namba ya luku kwa ajili ya kujaza umeme. Mimi ni mgeni kwenye suala hili la umeme kwani nimezoea vibatari na kandili za kule kijijini kwetu.
Asanteni
 
Habarini za mchana.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba mwongozo wa kupata mita namba ya luku kwa ajili ya kujaza umeme. Mimi ni mgeni kwenye suala hili la umeme kwani nimezoea vibatari na kandili za kule kijijini kwetu.
Asanteni
Sasa wewe ulipofungiwa umeme hukupewa namba ya mita yako?
 
Angalia kwenye kadi kama hapo nenda ofcin kwao
 
endelea na vibatali tu mkuu, sikuhizi umeme sio dili tena, unakatika katika kila siku, bora uhamie kwenye mishumaa kama vibatali vimekuchosha!
 
Back
Top Bottom