theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,750
- 15,643
Ni pm picha yake tafadhali...
Upo serious njoo private.salama jaman!
....nisiwe mnafki...japo mwenyewe niliweka tangazo humu kutaka mume lakini niliochat nao hatukuwahi fikia muhafaka...ila baadae Mungu alinijaalia nikampata mwanaume katika mazingira ya face to face.
Bado nina iman mpo mlioserious...ni mwl yupo mbeya uyole...ana 28...hajawai zaa...she is a ngoni one.primary school teacher...maji ya kunde kuelekeaweupe ...mrefu wastani ila kwenye ufupi hayumo.mpole sana...mambo mengine mtaulizana.
samahan jaman...yupo serious sana.Naomba pm ...msije na utaniutan jaman plzz.
Huu unyanyapaa ss kosa letu nn? tumejikuta tu tpo hvyo wajamen!hapana kwa kweli
Ss umejuaje km hatutaki wenye vbamia? umenkera sana kwa unyanyapaa uliotufanyia mwanzo ulisema mengne tutaulizana wenyewe vp ss!siyo Mimi kaka serious
Do "ogo la jang'ombe" like me allowed please?hapana kwa kweli
siku zote ukiona mtu anatokea mbeya,arusha,kilimanjaro jua ni christianDini plz
Mrs Air acha kutufukuzia ndege buana,, wengine tuna ugwadu wa karne nyingi....ina maana huyo mdada hatongozwi?duh mbn majanga!!! wengine tunatongozwa na tuna mapete mkononi aic mxiew....ila nakushauri sidhan km utampata mume humu labda uniambie wa kupass nae tym...sijui nikupe pole?
hahahaha mkuu hatari tupuhahaha, siku wakitoa ofa kwa vibamia kuelea bwawani nadhani china itahamia tanzania
ahahaha mkuu unafukuza bahati zetu sisi viba100Do "ogo la jang'ombe" like me allowed please?