warundi wanafikiri wapo juu kuliko watanzania,nimemwona mmoja anagombana na mtanzania,mrundi akasema watanzania ni watu wa ovyo lakini warundi wana maisha standard,nikamwuliza maana ya maisha standard akashindwa kuthibitisha,nikamkumbusha jinsi wanavyokatana mapanga kwao na kukimbilia tanzania,kwa kweli tuna wakati mgumu sana
Sina nia ya kumchafua mwl huyu mwenye asili ya Burundi anaitwa Prudence, ushahidi ninao. Anafundisha PHYSICS na CHEMISTRY form 5 & 6 pale SHINYANGA SEC kwa miaka mingi amekuwa akifelisha maskini wa kitanzania. Jina lake maarufu ni mzee wa USHIRIKIANO. Makosa yake ni:
1. Haingii darasani mpaka mchange pesa
2. Ana tabia ya makusudi ya kuzira darasa mkimshitaki au msipompa pesa a.k.a ushirikiano
3. Practical za form 6 anaharibu mtu huwezi pata data. Watu wake anawapa data
mi ni muhanga wa hili, tufanye nini kuokoa watoto na wadogo zetu? Nawasilisha
Vipi bado mikate yake ipo? ni kweli kabisa hiyo miaka ya 2011 alikuwa anawafelisha vijana kisa hawajanunua mikate yake. Hivi yeye ana work permit ya milele? kwani hata kina Mbanga walishaondoka lkn yeye bado tu? Vipi Mwalimu wangu wa Uchumi Nyaraja bado yupo? mpe hi sana.
Dah! bado yupo maana me nilipita 2008 ali2felisha kwenye practical no data mpaka mwisho big up sana kwa mwalim masama ali2saidia sana mpaka nikapata credit za chuo.
Anachokifanya ndicho kinachofanywa na walimu wengi wa science kwenye shule za umma,especially walimu wenye uwezo mzuri wa kufundisha!Mambo hayo pia yanafanywa na madaktari bingwa pale muhimbili university.Chanzo kinaelezwa kuwa ni frustration kutokana na mapato yasiyowiana na juhudi walizowekeza kwenye elimu yao.Serikali ilitangaza mpango wa motisha kwa walimu wa science tz,upo wapi?Tumtumie huyu mwalimu kama mfano bila kuzingatia urundi wake then tujadili ufumbuzi wa kitaifa.Hili tatizo ni kubwa,nadhani kwa shule za umma zinazofundisha science wananusurika Mzumbe na Kibaha sec tu kutokana na non-governmental support kidogo wanayopata.
Sina nia ya kumchafua mwl huyu mwenye asili ya Burundi anaitwa Prudence, ushahidi ninao. Anafundisha PHYSICS na CHEMISTRY form 5 & 6 pale SHINYANGA SEC kwa miaka mingi amekuwa akifelisha maskini wa kitanzania. Jina lake maarufu ni mzee wa USHIRIKIANO. Makosa yake ni:
1. Haingii darasani mpaka mchange pesa
2. Ana tabia ya makusudi ya kuzira darasa mkimshitaki au msipompa pesa a.k.a ushirikiano
3. Practical za form 6 anaharibu mtu huwezi pata data. Watu wake anawapa data
mi ni muhanga wa hili, tufanye nini kuokoa watoto na wadogo zetu? Nawasilisha
Kinachosubiriwa ha hao wa TZ washinyaka kumfungia ofisi ni kipi? hawajawahi kusikia Mkurugenzi mmoja kule Muhimbili alivyofanya na madaktari akatimuliwa ofisini na bila shaka nchini pia?