ArchAngel
JF-Expert Member
- Oct 11, 2015
- 4,516
- 3,753
Siku nyingine tumia ubongo badala ya makalio kufikiri.Aliyekwambia anajutia chochote au uamuzi wowote alioufanya katika maisha yake ni nani? Au wewe umegeuka msemaji wa nafsi yake?
Ndo maana hamuendelei kwa kuishi kwa misemo kusubiri Binadamu xyz ashindwe muanze kucheka, ulishawahi kuona Muhindi anapoteza muda wake kwa ujinga kama huu wenu? Wahindi wako < 200 000 TZ lkn wanamiliki > 85% ya Uchumi wa JMTZ wewe umekalia kusubiri siku Raisi Magufuli akipata shida ucheke, get a life man, hii Dunia haijaanza lao!