Waziri wa fedha Dr Mwigullu Nchemba amesema Tozo za miamala siyo kitu kipya sema tu wananchi ni wasahaulifu.
" Nyie hamjawahi kupaa Meseji inayosema ' tuma na ya kutolea'?" Dr Mwigullu amewauliza waandishi wa habari
Sasa hiyo Tuma na ya kutolea ina tofauti gani na tozo? amehoji
Source: ITV habari