Hushaambiwa yupo china
ametumwa na tusker larger kuangalia mzigo akirudi atapitia israel
kuwaulizia ilikuaje hadi kamanda marando kagundua ile mtambo wa
kutengeneza namba feki za simu akitoka hatofikia JNIA (NYERERE AIRPORT)
bali atashukia nairobi then atachukua fast boat hadi ikulu si unajua
ikulu ipo karibu na bahari atawasilisha mapendekezo kwa fastjet then
atapewa escort hadi kijitonyama wanapokaa TISSCCM kesho yake ataita
press conference lumumba ndipo atakapoanza kuropoka.RIP CCM.