Mwigulu Nchemba, hivi kinachokufanya kuendelea kuwa Waziri ni kitu gani?

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,244
7,966
Yaani raia wanauawa kule KIBITI waziri wa mambo ya ndani yupo! Hachukui hatua yeyote kuwajibika kumpisha mwenye uwezo, hili tatizo linakosa mbinu za kimkakati kulikabili. Nina uhakika kuna watu wazoefu na mambo kama haya, wewe ungepisha tu kiungwana utaeleweka kuliko kuendelea na nafasi hiyo huku watu wanaendekea kufa.

Wewe ni mwanasiasa typical na sio mtendaji, uwaze ya 2025 na yale ya Singida United ni saangapi KIBITI patatulia?Hii nafasi inatakiwa anatakiwa mtu ambaye ata-concentrate moja kwa moja na sio mwenye mambo mengi kichwani. Hii nafasi siwezi kusema moja kwa moja. Kuwa inakushinda bali tatizo ni wingi wa mambo uliyonayo.Ungewajibika tu brother. Mzee ruksa alifanya hivyo lakini ndoto yake bado ilitimia tu.


Hivi ni kwanini wabongo tunapenda sana vyeo? Mtu uking'atuka kuwapisha wengine ukabaki na ubunge ni shida? Ingekua Bashite ni sawa, maana yeye akiachia ngazi hana pakwenda maana hana, vyeti feki, hana jimbo na pamoja na pia hata kama angeweza kua mjasiriamali kwa ukwasi alionao kwa sasa.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Sasa waziri akijiuzuru na mauaji yakaendelea tutasemaje? Tutasema Sirro ajiuzuru ok Sirro akajiuzuru na mauaji yakaendelea, tutasemaje polisi wajiuzuru??.

Kama ni cheo cha Mwigulu kinatafutwa kuweni wawazi jamani maana naona threads za kutaka Mwigulu ajiuzuru zimekua nyingi wiki hii.

Kimsingi Mwigulu hana taaluma ya uaskari, nafasi aliyonayo ni nafasi ya kisiasa tu, ana wajibu wa kuunganisha serikali na jeshi la polisi kama chombo cha ulinzi na usalama wa raia na mali zao, katika changamoto kama hii ya kiusalama wananchi wanapaswa kutoa ushirikiano vinginevyo hata waziri wa mambo ya ndani ukiteuliwa wewe mleta mada bado mambo yatakua magumu tu.

Kama ndivyo basi kufuatia machafuko ya Kenya yanaendeshwa na Alshaba basi hata Uhuru Kenyatta angeshajiuzuru
 
Yaani raia wanauawa kule KIBITI warizi wa mambo ya ndani yupo! Hachukui harua yeyote kuwajibika kumpisha mwenye uwezo, hili tatizo linakosa mbinu za kimkakati kulikabili. Nina uhakika kuna watu wazoefu na mambo kama haya, wewe ungepisha tu kiuungwanga utaeleweka kuliko kuendelea na nafasi hiyo huku watu wanaendekea kufa.

Wewe ni mwanasiasa typical na sio mtendaji, uwaze ya 2025 na yale ya Singida United ni saangapi KIBITI patatulia?Hii nafasi inatakiwa anatakiwa mtu ambaye ata-concentrate moja kwa moja na sio mwenye mambo mengi kichwani. Hii nafasi siwezi kusema moja kwa moja. kua inakushinda bali tatizo ni wingi wa mambo uliyonayo.Unhewajibika tu brother.Mzee ruksa alifanya hivyo lakini ndoto yake bado ilitimia tu.


Hivi ni kwanini wabongo tunapenda sana vyeo? Mtu uking'atuka kuwapisha wengine ukabaki na ubunge ni shida? Ingekua Bashite ni sawa, maana yeye akiachia ngazi hana pakwenda maana hana,vyeti feki, hana jimbo na pamoja na pia hata kama angeweza kua mjasiriamali kwa ukwasi alionao kwa sasa.
Mbona hatua zimeanza kuchukuliwa , huoni viongozi wa cuf wameanza kukamatwa ? Sasa bado wa Chadema na Kingwendu .
 
Yaani raia wanauawa kule KIBITI warizi wa mambo ya ndani yupo! Hachukui harua yeyote kuwajibika kumpisha mwenye uwezo, hili tatizo linakosa mbinu za kimkakati kulikabili. Nina uhakika kuna watu wazoefu na mambo kama haya, wewe ungepisha tu kiuungwanga utaeleweka kuliko kuendelea na nafasi hiyo huku watu wanaendekea kufa.

Wewe ni mwanasiasa typical na sio mtendaji, uwaze ya 2025 na yale ya Singida United ni saangapi KIBITI patatulia?Hii nafasi inatakiwa anatakiwa mtu ambaye ata-concentrate moja kwa moja na sio mwenye mambo mengi kichwani. Hii nafasi siwezi kusema moja kwa moja. kua inakushinda bali tatizo ni wingi wa mambo uliyonayo.Unhewajibika tu brother.Mzee ruksa alifanya hivyo lakini ndoto yake bado ilitimia tu.


Hivi ni kwanini wabongo tunapenda sana vyeo? Mtu uking'atuka kuwapisha wengine ukabaki na ubunge ni shida? Ingekua Bashite ni sawa, maana yeye akiachia ngazi hana pakwenda maana hana,vyeti feki, hana jimbo na pamoja na pia hata kama angeweza kua mjasiriamali kwa ukwasi alionao kwa sasa.

Jitahidi Mkuu labda Wewe mwenzetu anaweza kukusikia kwani wenzio tumesema na kumsema humu humu JF hadi kugundua kuwa kumbe tulikuwa tunapaka tu rangi upepo.
 
Nwigulu siku hizi amekuwa kama Bulembo karata zake mbili tuu
1) Kumsifu Magufuli kila anapopata nafasi hata kama haitoki moyoni
2)Kuuponda upinzani ili kumfurahisha Magu hata kwa mambo ya kipuuzi

Afanyaje si amekalia kuti kavu?
 
Nwigulu siku hizi amekuwa kama Bulembo karata zake mbili tuu
1) Kumsifu Magufuli kila anapopata nafasi hata kama haitoki moyoni
2)Kuuponda upinzani ili kumfurahisha Magu hata kwa mambo ya kipuuzi

Afanyaje si amekalia kuti kavu?
Njaa haijawahi kumwacha MTU salama,

Mwacheni kaka yangu, ana familia inamtizama,

IGP kishasema, wapo kazini 24 masaa,

Jaribuni kumtua mtoto wa Lameck na Mjukuu wa Nchemba
 
Angekuwa mwingine, angeshatumbuliwa zamani. Ni msukuma mkokoteni mwenzake. Wangeambiwa kuna raia zinaandamana, mpaka jwtz ingekuja tena na mizinga ya kutungua denge.
Ile jeuri ya FFU sijui iko wapi au wale wazee wa kuonea watu sijui wameenda wapi.
Hii ndiyo nchi ya double standard, baada ya kuona kuna vidume huko vina SMG basi wamejikausha.
Hiv kwa mfano, polisiccm wangeweka kambi huko, haya mauaji yangeendelea kutokea?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Yaani raia wanauawa kule KIBITI warizi wa mambo ya ndani yupo! Hachukui harua yeyote kuwajibika kumpisha mwenye uwezo, hili tatizo linakosa mbinu za kimkakati kulikabili. Nina uhakika kuna watu wazoefu na mambo kama haya, wewe ungepisha tu kiuungwanga utaeleweka kuliko kuendelea na nafasi hiyo huku watu wanaendekea kufa.

Wewe ni mwanasiasa typical na sio mtendaji, uwaze ya 2025 na yale ya Singida United ni saangapi KIBITI patatulia?Hii nafasi inatakiwa anatakiwa mtu ambaye ata-concentrate moja kwa moja na sio mwenye mambo mengi kichwani. Hii nafasi siwezi kusema moja kwa moja. kua inakushinda bali tatizo ni wingi wa mambo uliyonayo.Unhewajibika tu brother.Mzee ruksa alifanya hivyo lakini ndoto yake bado ilitimia tu.


Hivi ni kwanini wabongo tunapenda sana vyeo? Mtu uking'atuka kuwapisha wengine ukabaki na ubunge ni shida? Ingekua Bashite ni sawa, maana yeye akiachia ngazi hana pakwenda maana hana,vyeti feki, hana jimbo na pamoja na pia hata kama angeweza kua mjasiriamali kwa ukwasi alionao kwa sasa.
Smartphone haijawahi kumuacha mtu salama
warizi=waziri
harua=hatua
kiuungwanga=kiungwana
wanaendekea=wanaendelea
 
Back
Top Bottom