DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Dakika chache baada ya kugawa ela pale kilala kwa wazee hata ambao si wapiga kura,kundi la vijana toka sing'isi lilipata taarifa za 'uvamizi huo wa wakati huu'na kujipanga kumpiga mawe ila waliposhuka wakakuta jamaa kaondoka katibu huyo wa fedha wa ccm.wanadai ccm imeshindwa kuwagawia viwanja hususan kile walichomuuzia Aloyce kimaro halafu leo eti wanajipitisha kutaka kura.MWIGULU wanataka uthubutu tena kisa eti 'UCHAGUZI'uone.