Mwigulu Nchemba akosa Watu mkutanoni

Mwigulu Nchemba akosa Watu mkutanoni

Hahahahahaaaaaaaa japo wanatuumiza kwa mikataba yao mibovu wacha nicheke napoona dalili ya kupingwa kwao.
 
Arusha wanaogopa kutukanwa na vile vile hawapendi kutukana...!!
 
Endeleeni kujazana ujinga baada ya oct 25 watu wanashangilia ushindi.


MAGUFULI NDIO CHAGUO LETU.
 
Yule jamaa aliekuwa anatafuta nae kura za chuki wakati wa madiwani wa arusha bora angemrudia amuombe msamaha
kwani alimzalilisha sana
 
CCM wangeachana na kanda ya kaskazini na kuwekeza nguvu zao kanda nyingine.
 
Mzimu WA Dr ulimboka NA Mwangosi hautaicha salamander Ccm
 
mwigulu hajui atendalo ndo maana kafukuzwa kwenye team kampeni ya maghufuli.
 
Back
Top Bottom