Mwigulu Nchemba akosa Watu mkutanoni

Mwigulu Nchemba akosa Watu mkutanoni

Lumbi9

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2014
Posts
8,738
Reaction score
12,428
Wakati Lowassa akiahirisha mkutano huko Tanga kwa sababu ya msongamano wa watu, Mwigulu Nchemba ameahirisha mkutano huko Arusha kwa kukosa watu. Watu walijitokeza wachache na badala ya kumsikiliza, wakaanza kumzomea.
attachment.php
 

Attachments

  • 12077459_1050630791614121_655107069_n.jpg
    12077459_1050630791614121_655107069_n.jpg
    6.2 KB · Views: 5,848
Kiufupi ni hasara kubwa kuponda garama za chops kwenda Arusha na kuhutubia watu 43 pale Arumeru kwa Joshua Nasari. Mwigulu siada feki peleka kwingine si Arusha. Nadhani umejifunza sasa
 

Attachments

  • 1443622172559.jpg
    1443622172559.jpg
    6.2 KB · Views: 3,565
Kipicha kidoogo sana. Ila ujumbe umefika mkuu.
 
hapa kaamua aondoke zake
 

Attachments

  • 12086963_1050631084947425_510072975_n.jpg
    12086963_1050631084947425_510072975_n.jpg
    2.1 KB · Views: 3,232
Anajifanya commando wa ccm. Anafikiri ni sawa na jimboni kwake, watu wana hasira
 
Wewe ulikua kilomita moja kutoka kwenye mkutano? Kwanini usisogee ili hiyo picha ionekane vizuri?
 
Alipitia anga zangu Nduruma saa 4 asbh nadhani alikuwa anakwenda Tanga
 
Wakati Lowassa akiahirisha mkutano huko Tanga kwa sababu ya msongamano wa watu, Mwigulu Nchemba ameahirisha mkutano huko Arusha kwa kukosa watu. Watu walijitokeza wachache na badala ya kumsikiliza, wakaanza kumzomea.
attachment.php

labda wameogopa kutukanwa manake kuhudhuria mikutano ya ccm inataka moyo na uvumilivu.
 
Ushindi ni 65%
Na mtu asibisheee !!!
Ukibisha tu jamaa mlangoni.
 
Yaan roho yangu inasusuzika ss kwa huyu jamaa kukosa watu maaana anapandikiza chuki kwa watu icyo ya lazma halafu anajione yy ana akili
 
Back
Top Bottom