Mwigulu Nchemba akagua maendeleo mradi wa maji Sinya

Mwigulu Nchemba akagua maendeleo mradi wa maji Sinya

Habari za Zanzibar

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2024
Posts
260
Reaction score
199
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 23, 2026 amekagua maendeleo ya Mradi wa Majisafi wa Sinya–Namanga unaotekelezwa eneo la Sinya, Longido mkoani Arusha.

Mradi huo unaotarajiwa kuongeza uzalishaji wa maji hadi lita 4,100,000 kwa siku, unatekelezwa na mkandarasi M/s. Zongii Contractors Co. LTD kwa gharama ya Shilingi bilioni 13.5 ambazo zinazotolewa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mradi huo unategemea kuongeza upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi wa Namanga na Sinya kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya maji ambayo chanzo cha sasa cha Mto Simba hakitoshelezi.

Maji yatakayo toka katika mradi huo ambao hadi kufikia Januari 2026 ulikuwa umefikia asilimia 24.7 yatakidhi mahitaji ya wananchi na mifugo.

IMG-20260223-WA0025.jpg
IMG-20260223-WA0024.jpg
IMG-20260223-WA0026.jpg
IMG-20260223-WA0020.jpg
 
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 23, 2026 amekagua maendeleo ya Mradi wa Majisafi wa Sinya–Namanga unaotekelezwa eneo la Sinya, Longido mkoani Arusha.

Mradi huo unaotarajiwa kuongeza uzalishaji wa maji hadi lita 4,100,000 kwa siku, unatekelezwa na mkandarasi M/s. Zongii Contractors Co. LTD kwa gharama ya Shilingi bilioni 13.5 ambazo zinazotolewa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mradi huo unategemea kuongeza upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi wa Namanga na Sinya kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya maji ambayo chanzo cha sasa cha Mto Simba hakitoshelezi.

Maji yatakayo toka katika mradi huo ambao hadi kufikia Januari 2026 ulikuwa umefikia asilimia 24.7 yatakidhi mahitaji ya wananchi na mifugo.

View attachment 3547629View attachment 3547630View attachment 3547631View attachment 3547632
kazi na utu,
tusonge mbele pamoja,
well done Dr. mwigulu :KasugaYeah:
 
Back
Top Bottom