mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,793
- 7,171
Hakika Mwigamba alilubuniwa na Zitto baada ya kusoma ujumbe huu, kumbe Zitto ni Kizito anaweza badilisha misimamo ya wanaompinga!!, Mwigamba CHADEMA ipotezee tu, ondoka swetwani mkubwa tuachie chadema yetu
Mwigamba na ZITTO ni Watu Mhimu ndani ya Act mtoa. Muda ni mnafiki
Hakika fedha ina uwezo wa kumfanya mwema kuwa msaliti,rijali kuwa shoga,mzuri kuwa mbaya
Unbeliavable !
Kwa hichi alichoandika Mwigamba wakati huo na hayo aliyokuja kuyafanya against CDM na kumsupport mtu aliye-mwelewa vizuri mapema kabisa kwamba anahujumu Chama inaonyesha unafiki na uchumia tumbo wa hali ya juu kabisa !
How can a person go this low !? Really shocking !
Mwigamba hafai kabisa kuwa kiongozi !
Mwigamba na ZITTO ni Watu Mhimu ndani ya Act mtoa. Muda ni mnafiki
kuna mdau kaweka nakala halisi huko mbele , endelea kusoma utaiona .
Acha utumwa wa akiliZitto ana akili kuliko machadema yote