Mwigamba kumvaa Mnyika Ubungo

Manu.

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2014
Posts
689
Reaction score
180
Mi nahisi ujio wa Mwigamba jimbo la Ubungo ni kama kumpeleka Mbele Mnyika.......
Hii ni kwa sababu mwigamba ni mtu dhaifu sana na kura za Mnyika zimekaa. Hivyo ujio wake utapunguza japo kiduchu kura za CCM na sio za Mnyika.

==============================

 
Hata ukiweka jiwe Ubungo, madhali lina bendera ya Chadema. Jiwe linashinda.
 
Mi nahisi ujio wa Mwigamba jimbo la Ubungo ni kama kumpeleka Mbele Mnyika.......
Hii ni kwa sababu mwigamba ni mtu dhaifu sana na kura za Mnyika zimekaa. Hivyo ujio wake utapunguza japo kiduchu kura za CCM na sio za Mnyika.

washauri wake wa kisiasa wameamua kumtapeli mwacheni aje tumpe kichapo cha kura
 
Mnyika wa 2010 sio huyu, wanaubungo walikuwa na matumaini naye baada ya kuwaahidi mambo kadhaa, ila sasa keshapoteza mvuto, kwani hajatekeleza ahadi yake hata moja!

mnyika amefanya kazi yake bungeni kama inavyotakiwa,ameuiza.maswali ya msingi kuliko wabunge wote bungeni,vile vile.ndiye mbunge pakee no moja kwa kuuliza mswali ya nyongeza,huyo ndiye mbunge machachari mnyika,waliyofutia no mbili mpaka hamsini wote ni wabunge wa ukawa naanza kuwataja
no 2 tindu lisu
no mosesi machali
no3 halima mdee
mkosamali
david.silinde
wenje
peter msingw
sugu ak mbilinyi
esta matiku
p getrud
kafulila endelea
 
Mi nahisi ujio wa Mwigamba jimbo la Ubungo ni kama kumpeleka Mbele Mnyika.......
Hii ni kwa sababu mwigamba ni mtu dhaifu sana na kura za Mnyika zimekaa. Hivyo ujio wake utapunguza japo kiduchu kura za CCM na sio za Mnyika.

Mwigamba kapakimbia Magu sembuse Ubungo
 
Mnyika wa 2010 sio huyu, wanaubungo walikuwa na matumaini naye baada ya kuwaahidi mambo kadhaa, ila sasa keshapoteza mvuto, kwani hajatekeleza ahadi yake hata moja!

Hata 2010 mlikuwa mnasema haya haya kichapo mlicho pigwa hamna hamu mnarudia yale yale.
 
Mwigamba anataka kuchota maji kisimani na kupeleka baharini kuijaza au anataka kuhesabu mchanga pale Coco Beach. Muacheni apoteze muda...
 
Wanaubungo wanataka maji aliyowaahidi Mnyika, halafu wewe unaleta porojo!
 
Anyway huko Ubungo wanekimbia wangapi na walikuwa na hadhi gani? mpaka Mwigamba aonekane kwamba anaweza kupapambana na kijana Mpambambanaji?

NURU YA CHAMA amekimbilia Kigoma Mjini, Nape Nnauye amekimbilia Ulezi..ooo sorry Mtama.!!! Sasa huyo jama aende Ubungo kwa lipiw alilinalo? Kamkimbua Jeska Kafulila (Iramba Magharibi) atamweza Mnyika Ubungo?

Huu ni utani wa kupatia Usingizi usiku huu!

BACK TANGANYIKA
 
Mnyika wa 2010 sio huyu, wanaubungo walikuwa na matumaini naye baada ya kuwaahidi mambo kadhaa, ila sasa keshapoteza mvuto, kwani hajatekeleza ahadi yake hata moja!

Ahadi zipi?Hebu eleza basi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…