PreGE2025 Mwenyekiti wa UVCCM Ali Kawaida: Nilishawahi kusema Mtandao wa X ufungwe ila watu walinibeza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Blessed Tajiri

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2023
Posts
221
Reaction score
659
Mwenyekiti wa UVCCM Ali Kawaida akiongea hivi karibuni kwenye mkutano mkuu wa CCM jijini Dodoma ameendelea kushikilia msimamo wake wa kufungia mtandao wa X ambao aliutoa miezi kadhaa iliyopita

"Nilishawahi kusema Mtandao wa X ufungwe ila watu walinibeza bila kujua nini nilichokuwa namaanisha katika maoni na maoni yangu niliyatoa. Hatukatazi watu kutoa maoni, mawazo yao, changamoto zao na kama tunaruhusu hayo mambo kuendelea. Mimi kama Mtanzania ambaye ni kijana siwezi kuruhusu Rais wangu kukejeriwa, kubagazwa"

"Tunapomzungumzia Rais Samia Suluhu Hassan ni Kiongozi Mkuu wa nchi na kwa nyumbani tunazungumzia mama au baba ni nani ambaye yupo tayari kumuona baba yake na mama yake akitukanwa na mtu mwingine? Ni sawasawa na Rais wangu yupo katika kuwawakilisha Watanzania. Nakereka sana"-
Mohammed Kawaida, Mwenyekiti UVCCM Taifa kwenye mkutano wa Kijani Power CCM Dodoma.


Your browser is not able to display this video.
 

Attachments

  • Screenshot_20250530_101627_Instagram.jpg
    406.6 KB · Views: 20
Hamna kitu kichwani hapa
 
Huyu nae ukute amesoma na kutunukiwa Degree ๐Ÿ˜ฅ๐Ÿ˜ฅ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ