Mwenyekiti wa JUMIKITA: Tunakuomba Makonda upambane na Instagram na TikTok waanze kutulipa

Mwenyekiti wa JUMIKITA: Tunakuomba Makonda upambane na Instagram na TikTok waanze kutulipa

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
844
Reaction score
1,608


Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanahabari wa Mitandao ya Kijamii Tanzania (JUMIKITA) Shaban Omary Matwebe, ampangoza Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Paul Makonda kwa kuamua kupambana kwa ajili ya kuhakikisha vijana waliojiajiri kwenye sekta ya Habari za mitandaoni wanapata mikopo itakayowawezesha kununua vifaa vya kisasa. Aidha ndugu Matwebe amemuomba Makonda kuhakikisha anapambana ili mitandao ya Instagram na TikTok pia waanze kuwalipa watumiaji wake nchini Tanzania kama ilivyo kwa nchi nyingine.
 
Back
Top Bottom