Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,633
Mkuu six,Sikushangaa nlivyoona "mwenyekiti wa chadema" hapo atalaumu watu hawakumtonya.
Chadema fans and members are too locals. Utaona anakuja msukule hapa kumtetea.
Nasikia mikoani wanachadema wameamua kutumia njia za wizi kupata pesa hasa kwa viongozi ili waunde kambi za kumnusuru mbowe kuangushwa na zitto make makao makuu hawapeleki hela mikoani kazi kweli.