Mwenyekiti wa CHADEMA Gongo la Mboto

Mwenyekiti wa CHADEMA Gongo la Mboto

Pritty wa joseph

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2014
Posts
2,379
Reaction score
2,051
hii wanajamvi.

Hivi huyu jamaa anaeitwa Bakar Shingo kuna yeyote anayeweza nipa details zake maana amejaza watu balaa yan kama mkutano wa rais vile
Wana Gongo la Mboto wanamuitwa "rais wa goms".
attachment.php

attachment.php
 

Attachments

  • 1422087071291.jpg
    1422087071291.jpg
    88.7 KB · Views: 3,650
  • 1422087158075.jpg
    1422087158075.jpg
    79.6 KB · Views: 3,444
Heading isomeke mw/kiti Chadema G/mboto
 
hii wanajamvi
hv huyu jamaa anaeitwa Bakar Shingo kunayeyote anayeweza nipa details zake maana amejaza watu balaa yan kama mkutano wa rais vile
wana gongo la mboto wanamuitwa "rais wa goms"

je wna gongo la mboto wanajua maana na asili ya jina la eneo hilo?
nawapa siri leo.
Gongo la mboto maana yake ni eneo la kunywea gongo iliyokuwa ikipikwa hapo kwa mzee mboto , yaani alikuwa anapika ya viwango na namna mbali mbali ili kukidhi mahitaji ya wateja wake , sasa sijui kawarithisha na wakaazi wake wa kizazi hiki ....
back to square A , huyu jamaa naweza muita kuwa ni "orator" kwani anao uwezo mkubwa wa kujieleza, kujenga hoja na kushawishi watu kwa kiasi kikubwa, wana gomzi tumpe nafasi .
 
Last edited by a moderator:
je wna gongo la mboto wanajua maana na asili ya jina la eneo hilo?
nawapa siri leo.
Gongo la mboto maana yake ni eneo la kunywea gongo iliyokuwa ikipikwa hapo kwa mzee mboto , yaani alikuwa anapika ya viwango na namna mbali mbali ili kukidhi mahitaji ya wateja wake , sasa sijui kawarithisha na wakaazi wake wa kizazi hiki ....
back to square A , huyu jamaa naweza muita kuwa ni "orator" kwani anao uwezo mkubwa wa kujieleza, kujenga hoja na kushawishi watu kwa kiasi kikubwa, wana gomzi tumpe nafasi .

mbowe alimtimua baada ya kuligundua hilo
 
Last edited by a moderator:
Bakar Shingo alifukuzwa CHADEMA na Mbowe baada ya kuanza kuuliza maswali magumu kuhusu Saccos. Wakaona ana uwezo wa kujenga hoja hivyo angesanua wengi akatimuliwa.
 
Huyu jamaa ni CUF, sema mikutano yake yote anafunga bendera zote. Mkutano wa juzi Vincent Nyerere na Mwita Waitara pia alihutubia..

Hata alipogombea uenyekiti wa mtaa Chadema hawakusimamisha. Ni mtu mnene wa Miraba minne
 
Back
Top Bottom