Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe atoweka Bungeni

Chabruma

JF-Expert Member
Sep 19, 2013
5,660
1,780
Kwa zaidi ya wiki sasa, Mbunge wa Hai, Mwenyekiti wa CHADEMA na kiongozi wa UKAWA, Freeman Mbowe hajaonekana Bungeni. Jimboni kwake Hai wanamtafuta ili awape mrejesho wa yale waliyomtuma akaseme Bungeni. Ofisini kwake Kinondoni, Mtaa wa Ufipa hajakanyaga kwa zaidi ya wiki mbili sasa.

Kwa mara ya mwisho alionekana Kanda ya Ziwa ambako alisambaratishwa na polisi baada ya kufanya mkutano usio na kibali cha polisi.

Taarifa za ndani zinasema kuwa Freeman Mbowe amekimbia aibu ambayo wabunge wa UKAWA wanapata kutokana na kumgomea Naibu Spika. Inaelezwa kuwa kazi ya kuongoza UKAWA kwa sasa kamwachia James Mbatia ambaye inaonekana dhahiri kwamba kabebeshwa zigo la misumari na kokoto.
 
Kwa zaidi ya wiki sasa, Mbunge wa Hai, Mwenyekiti wa CHADEMA na kiongozi wa UKAWA, Freeman Mbowe hajaonekana Bungeni. Jimboni kwake Hai wanamtafuta ili awape mrejesho wa yale waliyomtuma akaseme Bungeni. Ofisini kwake Kinondoni, Mtaa wa Ufipa hajakanyaga kwa zaidi ya wiki mbili sasa.

Kwa mara ya mwisho alionekana Kanda ya Ziwa ambako alisambaratishwa na polisi baada ya kufanya mkutano usio na kibali cha polisi.

Taarifa za ndani zinasema kuwa Freeman Mbowe amekimbia aibu ambayo wabunge wa UKAWA wanapata kutokana na kumgomea Naibu Spika. Inaelezwa kuwa kazi ya kuongoza UKAWA kwa sasa kamwachia James Mbatia ambaye inaonekana dhahiri kwamba kabebeshwa zigo la misumari na kokoto.
UPINZANI TZ UMEFIKA KIKOMO
 
Kwa zaidi ya wiki sasa, Mbunge wa Hai, Mwenyekiti wa CHADEMA na kiongozi wa UKAWA, Freeman Mbowe hajaonekana Bungeni. Jimboni kwake Hai wanamtafuta ili awape mrejesho wa yale waliyomtuma akaseme Bungeni. Ofisini kwake Kinondoni, Mtaa wa Ufipa hajakanyaga kwa zaidi ya wiki mbili sasa.

Kwa mara ya mwisho alionekana Kanda ya Ziwa ambako alisambaratishwa na polisi baada ya kufanya mkutano usio na kibali cha polisi.

Taarifa za ndani zinasema kuwa Freeman Mbowe amekimbia aibu ambayo wabunge wa UKAWA wanapata kutokana na kumgomea Naibu Spika. Inaelezwa kuwa kazi ya kuongoza UKAWA kwa sasa kamwachia James Mbatia ambaye inaonekana dhahiri kwamba kabebeshwa zigo la misumari na kokoto.

Mbowe yupo kanda ya ziwa anashughulikia kesi ya mambo yaliyotokea kule, afu pia sio lazima kuanzisha thread kama huna la maana zaidi ya kuwa na chuki na mtu
 
Kwa zaidi ya wiki sasa, Mbunge wa Hai, Mwenyekiti wa CHADEMA na kiongozi wa UKAWA, Freeman Mbowe hajaonekana Bungeni. Jimboni kwake Hai wanamtafuta ili awape mrejesho wa yale waliyomtuma akaseme Bungeni. Ofisini kwake Kinondoni, Mtaa wa Ufipa hajakanyaga kwa zaidi ya wiki mbili sasa.

Kwa mara ya mwisho alionekana Kanda ya Ziwa ambako alisambaratishwa na polisi baada ya kufanya mkutano usio na kibali cha polisi.

Taarifa za ndani zinasema kuwa Freeman Mbowe amekimbia aibu ambayo wabunge wa UKAWA wanapata kutokana na kumgomea Naibu Spika. Inaelezwa kuwa kazi ya kuongoza UKAWA kwa sasa kamwachia James Mbatia ambaye inaonekana dhahiri kwamba kabebeshwa zigo la misumari na kokoto.

Kwa hivyo wewe msaka tonge unataka kusemaje hapa...
 
Kwa zaidi ya wiki sasa, Mbunge wa Hai, Mwenyekiti wa CHADEMA na kiongozi wa UKAWA, Freeman Mbowe hajaonekana Bungeni. Jimboni kwake Hai wanamtafuta ili awape mrejesho wa yale waliyomtuma akaseme Bungeni. Ofisini kwake Kinondoni, Mtaa wa Ufipa hajakanyaga kwa zaidi ya wiki mbili sasa.

Kwa mara ya mwisho alionekana Kanda ya Ziwa ambako alisambaratishwa na polisi baada ya kufanya mkutano usio na kibali cha polisi.

Taarifa za ndani zinasema kuwa Freeman Mbowe amekimbia aibu ambayo wabunge wa UKAWA wanapata kutokana na kumgomea Naibu Spika. Inaelezwa kuwa kazi ya kuongoza UKAWA kwa sasa kamwachia James Mbatia ambaye inaonekana dhahiri kwamba kabebeshwa zigo la misumari na kokoto.
Mbona hautwambii ni wapi alipokuwa Kitwanga.
 
Kwa zaidi ya wiki sasa, Mbunge wa Hai, Mwenyekiti wa CHADEMA na kiongozi wa UKAWA, Freeman Mbowe hajaonekana Bungeni. Jimboni kwake Hai wanamtafuta ili awape mrejesho wa yale waliyomtuma akaseme Bungeni. Ofisini kwake Kinondoni, Mtaa wa Ufipa hajakanyaga kwa zaidi ya wiki mbili sasa.

Kwa mara ya mwisho alionekana Kanda ya Ziwa ambako alisambaratishwa na polisi baada ya kufanya mkutano usio na kibali cha polisi.

Taarifa za ndani zinasema kuwa Freeman Mbowe amekimbia aibu ambayo wabunge wa UKAWA wanapata kutokana na kumgomea Naibu Spika. Inaelezwa kuwa kazi ya kuongoza UKAWA kwa sasa kamwachia James Mbatia ambaye inaonekana dhahiri kwamba kabebeshwa zigo la misumari na kokoto.
Mtu mzima hovyo afanye niini bunge la CCM?
 
Kwa zaidi ya wiki sasa, Mbunge wa Hai, Mwenyekiti wa CHADEMA na kiongozi wa UKAWA, Freeman Mbowe hajaonekana Bungeni. Jimboni kwake Hai wanamtafuta ili awape mrejesho wa yale waliyomtuma akaseme Bungeni. Ofisini kwake Kinondoni, Mtaa wa Ufipa hajakanyaga kwa zaidi ya wiki mbili sasa.

Kwa mara ya mwisho alionekana Kanda ya Ziwa ambako alisambaratishwa na polisi baada ya kufanya mkutano usio na kibali cha polisi.

Taarifa za ndani zinasema kuwa Freeman Mbowe amekimbia aibu ambayo wabunge wa UKAWA wanapata kutokana na kumgomea Naibu Spika. Inaelezwa kuwa kazi ya kuongoza UKAWA kwa sasa kamwachia James Mbatia ambaye inaonekana dhahiri kwamba kabebeshwa zigo la misumari na kokoto.
Umejaribu kumpigia simu?maana naye ni binadamu labda anaumwa.
 
Kwa zaidi ya wiki sasa, Mbunge wa Hai, Mwenyekiti wa CHADEMA na kiongozi wa UKAWA, Freeman Mbowe hajaonekana Bungeni. Jimboni kwake Hai wanamtafuta ili awape mrejesho wa yale waliyomtuma akaseme Bungeni. Ofisini kwake Kinondoni, Mtaa wa Ufipa hajakanyaga kwa zaidi ya wiki mbili sasa.

Kwa mara ya mwisho alionekana Kanda ya Ziwa ambako alisambaratishwa na polisi baada ya kufanya mkutano usio na kibali cha polisi.

Taarifa za ndani zinasema kuwa Freeman Mbowe amekimbia aibu ambayo wabunge wa UKAWA wanapata kutokana na kumgomea Naibu Spika. Inaelezwa kuwa kazi ya kuongoza UKAWA kwa sasa kamwachia James Mbatia ambaye inaonekana dhahiri kwamba kabebeshwa zigo la misumari na kokoto.
Umekimbia Kwa Lugumi ukaenda Kwa Dau kote ukaona kugumu sasa upo nyumbani Kwa Lipumba mpo busy kupika propaganda kibao lakini mtashindwa maana wananchi wa sasa wanajua kuwa upinzani unadhoofishwa Kwa gharama yeyote ile , hivyo Wewe endelea kuzusha kadri uwezavyo lakini haitakusaidia kitu.
 
Ni kheri ya Mbowe asiyeonekana kuliko baba Je.sca anayeamua kupambana na makundi yote ya kijamii. Alianza na bomoa bomoa kwa walala hoi wa Dar, akaja na utumbuaji majipu kwa vigogo wa idara mbalimbali za serikali, sasa amehamishia mapambano kwa wasaka ajira na watumishi wa umma kwa kuzuia upandishwaji madaraja na nyongeza kwenye mishahara. Ha, ha, ha, anauhujumu utawala wake mwenyewe.
 
  • Thanks
Reactions: J C
Ni kheri ya Mbowe asiyeonekana kuliko baba Je.sca anayeamua kupambana na makundi yote ya kijamii. Alianza na bomoa bomoa kwa walala hoi wa Dar, akaja na utumbuaji majipu kwa vigogo wa idara mbalimbali za serikali, sasa amehamishia mapambano kwa wasaka ajira na watumishi wa umma kwa kuzuia upandishwaji madaraja na nyongeza kwenye mishahara. Ha, ha, ha, anauhujumu utawala wake mwenyewe.
Kama mmeingia kazini kwa vyeti feki basi mnalo
 
Pumba tupu hizi ni dalili za kuanza kuweweseka. Magufuli nchi imemshinda anaporomoka kwa kasi ya kutisha. Hakustahili kuongoza nchi huyu.

Kwa zaidi ya wiki sasa, Mbunge wa Hai, Mwenyekiti wa CHADEMA na kiongozi wa UKAWA, Freeman Mbowe hajaonekana Bungeni. Jimboni kwake Hai wanamtafuta ili awape mrejesho wa yale waliyomtuma akaseme Bungeni. Ofisini kwake Kinondoni, Mtaa wa Ufipa hajakanyaga kwa zaidi ya wiki mbili sasa.

Kwa mara ya mwisho alionekana Kanda ya Ziwa ambako alisambaratishwa na polisi baada ya kufanya mkutano usio na kibali cha polisi.

Taarifa za ndani zinasema kuwa Freeman Mbowe amekimbia aibu ambayo wabunge wa UKAWA wanapata kutokana na kumgomea Naibu Spika. Inaelezwa kuwa kazi ya kuongoza UKAWA kwa sasa kamwachia James Mbatia ambaye inaonekana dhahiri kwamba kabebeshwa zigo la misumari na kokoto.
 
Achana na mbowe hakuhusu tumwombee ndugai apone haraka inshaalah aje aongoze bunge.
 
Back
Top Bottom