Mwenyekiti wa CCM Mkoa Arusha na Katibu Mwenezi wa Mkoa Wajiuzulu na kuhamia CHADEMA

kama kuna kitu jk alibugi ni kusikiliza umbea umbea wa wapambe wake,

walifikiri wameuzima mziki wa lowassa kumbe ndio wameuwasha sasa kimbunga wakisubirie akianza kampeni, watatafutana mchawi,

Alishindwa kutumia akili za mbayu wayu
 
Lakini mbona wale waasisi wa ukawa wanajitoa. Histoshe na kwann kila kapi la ccm ajiunge cdm au ndio mnataka kuuwa cuf bara.napia wagombea uraisi wote ccm maana kapi lowassa na magufuli ni ccm . Je hivyo ndivyo mlivyokubaliana. Acheni unafki wana ukawa kweli tuna taka mabadiliko lakin sio kwa njia hiyo ya chama kimoja na mtu mmoja awe na sauti
 
Peopleeeeeeeeee's poweeeeeeer....!!!!

CCM hata kuwa chama cha upinzani hakitaweza kabisa.....!!! Kitapotea ktk siasa na kubakia kama KANU...!!!

Nasikia mamilioni ya wana CCM kuhamia CHADEMA sehemu mbali mbali ya nchi...!!!
 
Mnakula matapishi yenu kwa kuchukua mliowaita mafisadi na kuwatukana nchi nzima...shame on you!
 
Huu mwaka wa mabadiliko karibu sana kwenye ukombozi #CHADEMA mwenyekiti wa ccm mkoa na katibu mwenezi mlichelewa sana lakini nimeshafika OPERASHENI DELETE CCM ARUSHA sasa itaongozwa na nyie viongozi mlikuja kwenye ukombozi leo.
 
Kinachonisikitisha ni kuwa wale wale waliofubaza nchi sasa wanahamia upande mwingine tena kwa wingi na bado wanaaminika. . . . .siasa za kufuata mtu hazina tija kwa nchi!!!!!!

Mzee alipoamua kuhama yawezekana ana sababu zake za msingi kabisa. . . . Hawa wanaomfuata ni wa kutiliwa shaka sana
 
Mwenyekiti wa CCM Arusha Haaaaaaaa tena Walikuwa na Lowasa si Ajabu. siku ukusikia Mzee Mtopa Kahama CCM itakuwa habari, hao afadhari waondoke makapi
 
Viongozi wa CCM Arusha, haaaaa, siku ukisikia Mzee Mtopa kajiunga na Chadema ndo itaturusha roho. hao waondoke tu makapi wangetusumbua tu. Magufuli Oyeeeeeeeeeeeeeee.
 
Nape asiwe kama kupe,mpaka ng'ombe anachinjwa ngozi inapelekwa kiwandani bado ansmatumaini ya kupata damu.
 
Back
Top Bottom