Mwenyekiti kitongoji chadema avamiwa

Mwenyekiti kitongoji chadema avamiwa

Joined
Jul 21, 2014
Posts
31
Reaction score
16
Mwenyekiti wa Kitongoji cha Muri kata ya Kashashi jimbo la Siha,Ndugu Godbless Mbonika amevamiwa na vijana wa ccm na kujeruhiwa Muda huu.
Tukio limetoka katika kijiji cha Kirisha ambako ndugu Mbonika alivamiwa akituhumiwa kwamba amezui watu wasifike kwenye mkutano wa Mbunge wa CCM Naibu Waziri Ndugu Mwanri.Katika mkutano huu wa Naibu Waziri ambao umekuwa ukiairishwa mara kwa mara kwa kile kinachosemekana kwamba eneo hili ndiko anakotoka Mwenyekiti wa Vijana wa Chadema Jimbo wakitangaza mkutano wananchi hajitokezi lakini Chadema wakifanya wanakuja wengi huyu ndie anae fanya hivi akishirikiana na Saro.
Huku wakiwa wanampiga na kumvua nguo zake walisiki wakisema"kaka sisi tunakuambia wewe umekuwa unahamasisha watu wasije kwenye mkutano ni mara ngapi tunatangaza mikutano na watu hawaji,sasa hata kama hiki kijiji ndio anatoka huyo Imma Saro Mkt wa Vijana wilaya lazima mtambue huyu ni Naibu angalia hakuna hata watu kumi,
Tuko njiani kuelekea kituo cha Polisi.Sala zenu Wanamabadiliko.
chanzo Mwandishi wetu Lidya.
 
Hii inaskitisha. Ilipoamuriwa kila kata kuwa na vijana wa kulinda chama walikuwa wameliona hilo. Kama kata hiyo haijafanya ivyo wajue magamba yatatawaonea mpaka mwisho.....kujua kama sheria (mahakma)na polisi waHii inaskitisha. Ilipoamuriwa kila kata kuwa na vijana wa kulinda chama walikuwa wameliona hilo. Kama kata hiyo haijafanya ivyo wajue magamba yatatawaonea mpaka mwisho.....kujua kama sheria (mahakma)na polisi wako kazini basi pelekeni hiyo kesi mwone kama haki itatendeka.
 
Wakuu CHADEMA VIJANA hatuko mbali,kama inahitajika nguvu kazi kuwa muwazi!
 
Back
Top Bottom