VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,137
- 17,908
Mwenyekiti wa CCM Taifa,Jakaya Kikwete unapaswa kufanya siasa. Unapaswa kuendelea kuwa Mwenyekiti hadi mwisho wa kipindi chako mwaka 2017. Mwaka huo,tutakusanyika hapa Dodoma kumchagua Mwenyekiti mwingine.
Rais Magufuli,tawala. Weka nchi sawa. Inyooshe. Jenga nidhamu kwenye utumishi;kusanya mapato na zuia wizi na ufisadi. Kwa kauli na matendo yako,hupendi siasa. Hutaki siasa. Vyema ukatawala na kuacha siasa kwa wanasiasa.
Mwenyekiti Kikwete,usimpe Rais uenyekiti wa chama hapo Julai 23. Mwache atawale!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Rais Magufuli,tawala. Weka nchi sawa. Inyooshe. Jenga nidhamu kwenye utumishi;kusanya mapato na zuia wizi na ufisadi. Kwa kauli na matendo yako,hupendi siasa. Hutaki siasa. Vyema ukatawala na kuacha siasa kwa wanasiasa.
Mwenyekiti Kikwete,usimpe Rais uenyekiti wa chama hapo Julai 23. Mwache atawale!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)