GE2025 Mwenyekiti Kamati ya Ilani ya Uchaguzi mkuu 2025 wa ACT Wazalendo, Emmanuel Mvula amechukua fomu kugombea ubunge Segerea

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Mwenyekiti wa Kamati ya Ilani ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 wa ACT Wazalendo Emmanuel Mvula, amechukua rasmi fomu ya kugombea ubunge Jimbo la Segerea lililopo Manispaa ya Ilala Jijini Dar es Salaam.

Mvula amechukua fomu hizo katika ofisi ya msimamizi msaidiza wa uchaguzi jimbo la Segerea zilizopo kwenye ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala Jijini Dar es Salaam.


Your browser is not able to display this video.


Chanzo: Jambo TV
 
Hilo Jimbo lina watu wazito sana lakini lina chezewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…