Mwenyekiti Jumuiya Maridhiano Mtwara: Tunaridhishwa na utu wa Samia kutokana na falsafa ya 4R

Mwenyekiti Jumuiya Maridhiano Mtwara: Tunaridhishwa na utu wa Samia kutokana na falsafa ya 4R

McLaren

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
889
Reaction score
2,863
Wakuu,

Viongozi wa Jumuiya ya Maridhiano na amani Mkoa wa Mtwara, wamesema wanaridhishwa na utu wa Dkt. Samia Suluhu Hassan kutokana na Falsafa ya R4 ambazo ameziasisi.

Aidha, wamesisitiza wananchi kushiriki ipasavyo katika Uchaguzi wa mwaka 2025 huku wakitunza amani na utulivu uliopo nchini katika kipindi hiki cha Uchaguzi.

 
Wakuu,

Viongozi wa Jumuiya ya Maridhiano na amani Mkoa wa Mtwara, wamesema wanaridhishwa na utu wa Dkt. Samia Suluhu Hassan kutokana na Falsafa ya R4 ambazo ameziasisi.

Aidha, wamesisitiza wananchi kushiriki ipasavyo katika Uchaguzi wa mwaka 2025 huku wakitunza amani na utulivu uliopo nchini katika kipindi hiki cha Uchaguzi.

Yapo maridhiano gani Ntwara?
 
Back
Top Bottom