PreGE2025 Mwenyekiti ADC: Wapinzani tunaishi Tanzania kama watoto yatima

PreGE2025 Mwenyekiti ADC: Wapinzani tunaishi Tanzania kama watoto yatima

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
“Wapinzani wa Tanzania tunaishi kama watoto yatima ni watu ambao tunapata mateso sana kwenye hii Nchi lakini haya yote yataisha siku tukipata katiba mpya” Shabani Itutu

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

View attachment 3297860
Ujinga wakufikiria kwamba Siasa ni Ajira..ili linatakiwa kupingwa
 
Hiki chama ni kimoja ya vile vinayotumiwa na Fisiemu kutia matamko ya kupinga kila tamko la Chadema. kana kwamba Chadema ni chama cha upinzani.
Huwa wanashonewa suti na hotel ya kufanyia press, na bila shaka hupewa "chochote"
 
Hiki chama ni kimoja ya vile vinayotumiwa na Fisiemu kutia matamko ya kupinga kila tamko la Chadema. kana kwamba Chadema ni chama cha upinzani.
Huwa wanashonewa suti na hotel ya kufanyia press, na bila shaka hupewa "chochote"
Moja ya chama cha hovyo sana
 
Kaulimbiu ni moja tuu NO REFORMS NO ELECTION.. hatutaki tens malalamiko
 
Back
Top Bottom