agwambo halisi
Member
- Jan 22, 2014
- 42
- 2
Nahitaji kuagiza gari, kwa njia ya mtandao mwenye uzoefu anisaidie kujua yafuatayo;
1.namna ya kuagiza
2.Namna ya kulipa
3. Tax excemption kama ni mtumishi serikalini
4. Gari aina ya Ist
5. Inafika baada ya muda gani
1.namna ya kuagiza
2.Namna ya kulipa
3. Tax excemption kama ni mtumishi serikalini
4. Gari aina ya Ist
5. Inafika baada ya muda gani