kwenye hii simu yangu napata shida kuhusu internet. nikitaka kutumia internet kwa line ya voda inakubali. nikiswitch kwenda halotel airtel inagoma kabisa. simu inatumia line mbili na kuna wakati nataka kutumia line flani kwa internet inagoma. Msaada wanajukwaa
kuhusu internet. nikitaka kutumia
internet kwa line ya voda inakubali.
nikiswitch kwenda halotel airtel inagoma
kabisa. simu inatumia line mbili na kuna
wakati nataka kutumia line flani kwa
internet inagoma. Msaada wanajukwaa
Simu yako hujaset Access Point Name (APN) za mitandao husika, kumbuka kila mtandao una APN zake zinazokusaidia kujiunga na Internet, hivyo basi simu yako ina APN za voda tu za line nyingine huja set. Tafuta namna ya kuset hizo APN.
Simu yako hujaset Access Point Name (APN) za mitandao husika, kumbuka kila mtandao una APN zake zinazokusaidia kujiunga na Internet, hivyo basi simu yako ina APN za voda tu za line nyingine huja set. Tafuta namna ya kuset hizo APN.
Nenda kwenye settings za simu yako then mobile network, then access point name then unachagua hiyo line na kuset APN ya mtandao husika, ukishindwa piga customer care wakutumie settings
kwenye hii simu yangu napata shida kuhusu internet. nikitaka kutumia internet kwa line ya voda inakubali. nikiswitch kwenda halotel airtel inagoma kabisa. simu inatumia line mbili na kuna wakati nataka kutumia line flani kwa internet inagoma. Msaada wanajukwaa
Katika phone yako nenda kwenye setting tafuta sehemu imeandikwa network ifungue then tafuta sehemu imeandikwa APN ifungue afu palipo andikwa name jaza halotel, then sehemu palipo andikwa APN jaza v_Internet afu kwenye MNC jaza 09 afu save. Hapo itakua tayari tatzo limeisha
Fuata steps hiz kuset APN.(HALOTEL)
1.nenda setting then mobile network
2.chagua "Access point names"
3.then New APN, hpo edit APN
4. name =Halotel
5. APN= b-internet
then save!
Hapo tayari.
Fuata steps hiz kuset APN.(HALOTEL)
1.nenda setting then mobile network
2.chagua "Access point names"
3.then New APN, hpo edit APN
4. name =Halotel
5. APN= b-internet
then save!
Hapo tayari.
Hii namba tano umenifungua maana nilikuwa naandika internet sipati network sasa nimefahamu wapi kulikuwa na tatizo. Kwahiyo napaswa kuandika b-internet as APN
Katika phone yako nenda kwenye setting tafuta sehemu imeandikwa network ifungue then tafuta sehemu imeandikwa APN ifungue afu palipo andikwa name jaza halotel, then sehemu palipo andikwa APN jaza v_Internet afu kwenye MNC jaza 09 afu save. Hapo itakua tayari tatzo limeisha
naomba kueleweshwa je nawezaje
kufungua video za youtube bila kuambiwa
SERVER PROBLEM au sijui problem in
server?
kuhusu ku-convert videeo ya youtube
kuwa mp3 kuna app inahusika?
vile vile kwa midi na mp4 tusaidiane vipi
naweza ku-convert