Mwenye uelewa,ujuzi au ufahamu na hili anisaidie

Mwenye uelewa,ujuzi au ufahamu na hili anisaidie

Uhuru24

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2015
Posts
4,468
Reaction score
5,022
Nina changamoto ya kusumbuliwa na mguu,sasa unafikisha mwaka wa 2, mguu huu unaouma ni wa kushoto tu.

Huu mguu unauma na kukosa nguvu ninapotembea tu,lakini kama nakaa,nasimama au kukimbia hata ukiendesha baiskel husikii maumivu yeyote ,ila ninapotembea aisee mguu hauna nguvu kabisa(MZITO KUINUA).

Sas ninapolazimisha ndio unasikia unawaka moto,yaan kama misuli imekakamaa,na hapo natembea kwa msaada wa vidole kukandamiza chini.

Hali hii imenisukuma kwenda hospital ndogo mpaka kubwa ikiwemo DAR GROUP NA MLOGANZILA.

Huko MLOGANZILA nikaandikiwa vipomo na nikafanya vyote,nikaanza kutumia tiba lakini hakuna hata dalili yeyote ile.

Vipimo nilivyopima
1:NCT
2:SERUM VITAMIN B12
3:I+BAIC
4:TSH
5:FT3
6:FT4

MAJIBU:

Dawa nilizopewa
PANTOPRAZOLE
NAT B
PREGABIN
MELOXICAN
NEURO TON

Hivyo basi kama kuna mtu alishakutana na kadhia hii,au kufahamu basi anaweza nipa mwongozo. NAUMIA SANA,HASA KWENYE UTAFUTAJI MGUU UNANIPA WAKATI MGUMU SANA

SHUKRANI
 
Nina changamoto ya kusumbuliwa na mguu,sasa unafikisha mwaka wa 2,mguu huu unaouma ni wa kushoto tu.

Huu mguu unauma na kukosa nguvu ninapotembea tu,lakini kama nakaa,nasimama au kukimbia hata ukiendesha baiskel husikii maumivu yeyote ,ila ninapotembea aisee mguu hauna nguvu kabisa(MZITO KUINUA).

Sas ninapolazimisha ndio unasikia unawaka moto,yaan kama misuli imekakamaa,na hapo natembea kwa msaada wa vidole kukandamiza chini.

Hali hii imenisukuma kwenda hospital ndogo mpaka kubwa ikiwemo DAR GROUP NA MLOGANZILA.

Huko MLOGANZILA nikaandikiwa vipomo na nikafanya vyote,nikaanza kutumia tiba lakini hakuna hata dalili yeyote ile.

Vipimo nilivyopima
1:NCT
2:SERUM VITAMIN B12
3:I+BAIC
4:TSH
5:FT3
6:FT4

MAJIBU:

Dawa nilizopewa
PANTOPRAZOLE
NAT B
PREGABIN
MELOXICAN
NEURO TON

Hivyo basi kama kuna mtu alishakutana na kadhia hii,au kufahamu basi anaweza nipa mwongozo. NAUMIA SANA,HASA KWENYE UTAFUTAJI MGUU UNANIPA WAKATI MGUMU SANA

SHUKRANI
Majibu ya vipimo na pale MLOGANZILA nilionana na doctor wa NEUROLOGIST
 
Nina changamoto ya kusumbuliwa na mguu,sasa unafikisha mwaka wa 2, mguu huu unaouma ni wa kushoto tu.

Huu mguu unauma na kukosa nguvu ninapotembea tu,lakini kama nakaa,nasimama au kukimbia hata ukiendesha baiskel husikii maumivu yeyote ,ila ninapotembea aisee mguu hauna nguvu kabisa(MZITO KUINUA).

Sas ninapolazimisha ndio unasikia unawaka moto,yaan kama misuli imekakamaa,na hapo natembea kwa msaada wa vidole kukandamiza chini.

Hali hii imenisukuma kwenda hospital ndogo mpaka kubwa ikiwemo DAR GROUP NA MLOGANZILA.

Huko MLOGANZILA nikaandikiwa vipomo na nikafanya vyote,nikaanza kutumia tiba lakini hakuna hata dalili yeyote ile.

Vipimo nilivyopima
1:NCT
2:SERUM VITAMIN B12
3:I+BAIC
4:TSH
5:FT3
6:FT4

MAJIBU:

Dawa nilizopewa
PANTOPRAZOLE
NAT B
PREGABIN
MELOXICAN
NEURO TON

Hivyo basi kama kuna mtu alishakutana na kadhia hii,au kufahamu basi anaweza nipa mwongozo. NAUMIA SANA,HASA KWENYE UTAFUTAJI MGUU UNANIPA WAKATI MGUMU SANA

SHUKRANI
Pole sana mkuu, Hapo Mbezi ya Kimara naskia kuna wakorea wako vizuri sana kwenye viungo vinavyouma bila kujua chanzo hasa ni nini, wanachoma sindano za dawa za miti ya kwao huko, umewahi kuwaskia ?
 
Dah pole sana, natambua unayo yapitia mana kujitibu Huwa ni balaa unaeza hata filisika, ila muombe mungu kwanza alafu Anza tiba asili, sijajua tatizo ila Kuna tiba Huwa Zina chekesha ila zna tibu KABISA mfano, scrub ya mafuta ya taa, mara mbili kwa siku au udongo wa kichuguu uke mbichi wa ndani KABISA unachukua una bandika kwenye miguu huo unauacha Yani jaza udongo kuzunguka mguu wote.
 
Dah pole sana, natambua unayo yapitia mana kujitibu Huwa ni balaa unaeza hata filisika, ila muombe mungu kwanza alafu Anza tiba asili, sijajua tatizo ila Kuna tiba Huwa Zina chekesha ila zna tibu KABISA mfano, scrub ya mafuta ya taa, mara mbili kwa siku au udongo wa kichuguu uke mbichi wa ndani KABISA unachukua una bandika kwenye miguu huo unauacha Yani jaza udongo kuzunguka mguu wote.
Shukran mkuu,unaposema filisika mkuu acha tu,kwangu kila kitu kimesimama
 
Pole sana mkuu, Hapo Mbezi ya Kimara naskia kuna wakorea wako vizuri sana kwenye viungo vinavyouma bila kujua chanzo hasa ni nini, wanachoma sindano za dawa za miti ya kwao huko, umewahi kuwaskia ?
Hapana mkuu
 
Vipimo kila nikipandisha vinagoma
 
Pia mzizimkavu ni member wa jf akikujua umempatia humu anaweza hata kukutibu bure mtag
 
Mkuu mwenzio joints kidogo zinifilisi, nilizunguka Hospitals kubwa karibia zote lakini wapi, nimekaa na ugonjwa kwa zaidi ya miaka kumi magoti yalikuwa yanajaa balaa nikitembea au kuyakunja. Nilikuja kupona kwa miti shamba kutoka Kagera huko na wewe jaribu kutumia miti shamba maana nilikuja gundua kuna magonjwa mengine ni yakibiologia kuyatibu hospital ni ngumu
 
Nina changamoto ya kusumbuliwa na mguu,sasa unafikisha mwaka wa 2, mguu huu unaouma ni wa kushoto tu.

Huu mguu unauma na kukosa nguvu ninapotembea tu,lakini kama nakaa,nasimama au kukimbia hata ukiendesha baiskel husikii maumivu yeyote ,ila ninapotembea aisee mguu hauna nguvu kabisa(MZITO KUINUA).

Sas ninapolazimisha ndio unasikia unawaka moto,yaan kama misuli imekakamaa,na hapo natembea kwa msaada wa vidole kukandamiza chini.

Hali hii imenisukuma kwenda hospital ndogo mpaka kubwa ikiwemo DAR GROUP NA MLOGANZILA.

Huko MLOGANZILA nikaandikiwa vipomo na nikafanya vyote,nikaanza kutumia tiba lakini hakuna hata dalili yeyote ile.

Vipimo nilivyopima
1:NCT
2:SERUM VITAMIN B12
3:I+BAIC
4:TSH
5:FT3
6:FT4

MAJIBU:

Dawa nilizopewa
PANTOPRAZOLE
NAT B
PREGABIN
MELOXICAN
NEURO TON

Hivyo basi kama kuna mtu alishakutana na kadhia hii,au kufahamu basi anaweza nipa mwongozo. NAUMIA SANA,HASA KWENYE UTAFUTAJI MGUU UNANIPA WAKATI MGUMU SANA

SHUKRANI
Pole sana kiongozi kwa hayo madhiraa yaliyokupata! Najua changamoto unayopitia maana na mimi niliugua hivyo hivyo kwa muda wa miaka miwili. Ila mimi ulikuwa wa kulia nilikuwa siwezi kukaa kwenye kiti ikawa inanilazimu kukaa chini. Hii ikinifanya mpaka nikashindwa kuendelea na kozi yangu pendwa ya veterinary medicine. Hakuna dawa ambayo sikutumia anxia za madukani mpaka miti shamba ya akina Dr. Matunge na wale wamama wa kimaasai mpaka nikakakata tamaa ya maisha! Nilivyopona ni miujiza na watu huwa hawaamini lakini mimi kwa imani yangu ndiyo hiyo iliniponya, baada ya kuamua kusali kwa kuomba na kufunga na kusali sana Rozari nilipata maono kwa sauti nyororo ya mwanamke akiniambia toa hiyo Wallet yako mfukoni. Na kweli nilikuwa na wallet kwenye mfuko wa nyuma wa suruali. Basi nikaitii hiyo sauti nikaitoa nikaiweka kwenye bag la PC, baada ya hicho kitendo nikasikia kitu kimevuta kutoka kiunoni mpaka kwenye unyayo na tangu siku hiyo ikawa mwisho wa maumivu. Sasa na wewe angalia kama huwa unaweka wallet kwenye mfuko wa nyuma wa suruali itoe haraka sana na usirudie tena! Mimi nilipona kwa imani yangu kupitia maombezi ya Mama Bikira Maria (hii iko kiimani zaidi).
 
Nina changamoto ya kusumbuliwa na mguu,sasa unafikisha mwaka wa 2, mguu huu unaouma ni wa kushoto tu.

Huu mguu unauma na kukosa nguvu ninapotembea tu,lakini kama nakaa,nasimama au kukimbia hata ukiendesha baiskel husikii maumivu yeyote ,ila ninapotembea aisee mguu hauna nguvu kabisa(MZITO KUINUA).

Sas ninapolazimisha ndio unasikia unawaka moto,yaan kama misuli imekakamaa,na hapo natembea kwa msaada wa vidole kukandamiza chini.

Hali hii imenisukuma kwenda hospital ndogo mpaka kubwa ikiwemo DAR GROUP NA MLOGANZILA.

Huko MLOGANZILA nikaandikiwa vipomo na nikafanya vyote,nikaanza kutumia tiba lakini hakuna hata dalili yeyote ile.

Vipimo nilivyopima
1:NCT
2:SERUM VITAMIN B12
3:I+BAIC
4:TSH
5:FT3
6:FT4

MAJIBU:

Dawa nilizopewa
PANTOPRAZOLE
NAT B
PREGABIN
MELOXICAN
NEURO TON

Hivyo basi kama kuna mtu alishakutana na kadhia hii,au kufahamu basi anaweza nipa mwongozo. NAUMIA SANA,HASA KWENYE UTAFUTAJI MGUU UNANIPA WAKATI MGUMU SANA

SHUKRANI
Kutoka mtandaoni wamesema hivi


📌 Muhtasari wa Dalili Zako

Umeeleza kuwa:

1. Mguu wa kushoto tu unaouma na kukosa nguvu unapow TEMBEA tu

Ukikaa: hakuna maumivu

Ukisimama: hakuna maumivu

Ukikimbia: hakuna maumivu

Ukiendesha baiskeli: hakuna maumivu

Unapotembea: mguu unakua mzito kuinua, misuli inakakamaa, kuna moto, unatembea ukikandamiza kwa vidole.


2. Tatizo lina miaka 2

3. Umefanya vipimo vingi (NCT, Thyroid, Vitamin B12) – vyote vinaonekana NORMAL

4. Dawa ulizopewa ni za maumivu + neva – hazijasaidia hata kidogo


---

📌 Hii Dalili Inafanana Sana na Tatizo Moja Kubwa Sana:

➡️ Chronic Exertional Compartment Syndrome (CECS)

Hii ni condition inayotokea misuli inapokaza/kuvimba unapotembea, na hewa/damu inashindwa kupita — maumivu hutokea tu wakati wa kutembea. Wakati ukikimbia au baiskeli huwa hakuna maumivu kwa sababu group ya misuli inayotumika ni tofauti.

Dalili zinazoendana na CECS:

Maumivu yanayoanza tu ukianza kutembea

Mguu unahisi mzito kuinua ("foot drop feeling")

Moto / kukakamaa kwa misuli

Hakuna maumivu ukiwa umekaa au umesimama

Matokeo ya vipimo vya neva huwa NORMAL

Dawa hazifanyi kazi


Hii condition huwa haionekani kwenye X-ray, MRI, NCT wala damu. Inaonekana kwa compartment pressure test – ambacho hospitali nyingi TZ hawafanyi.


---

📌 Sababu ya Pili Inayokaribia:

➡️ Peroneal Nerve Entrapment (kwa upande wa goti la kushoto)

Nerve inaweza kukandamizwa mahali fulani kwenye kifundo cha goti au upande wa nje, na:

Inasababisha mguu kuwa mzito wakati wa kutembea

Hakuna maumivu ukiwa umekaa au ukikimbia

NCT wakati mwingine inaonekana NORMAL kwa sababu tatizo hutokea tu misuli ikitumika



---

📌 Sababu ya Tatu:

➡️ Gluteus Medius Weakness / Left Hip Muscle Collapse

Misuli ya paja la juu na nyonga ikidhoofika, unapoanza kutembea mguu wa kushoto unashindwa "kuinua" na unahisi mzito.


---

📌 Nini KINACHOTHIBITISHA kuwa sio:

Sio mgongo (sciatica) — kwa sababu hiyo ingesumbua kwa muda wote, si kutembea tu.

Sio arthritis — ungesikia maumivu ukisimama au kukimbia.

Sio matatizo ya mzunguko (vascular) — ungepata baridi, kufa ganzi, au rangi ya mguu kubadilika.

Sio vitamin deficiency — B12 yako isingekuwa normal.



---

📌 Hivyo, uwezekano mkubwa ni:

🥇 Chronic Exertional Compartment Syndrome (CECS)

🥈 Peroneal nerve entrapment
🥉 Hip/pelvic muscle imbalance


---

📌 SULUHISHO HALISI

Kwa kuwa umekwisha tembea hospitali zote kubwa na dawa hazifanyi kazi, hatua inayofuata inawezekana:

1. Kufanya vascular Doppler ultrasound ya mguu (ili kuondoa peripheral artery issues)

Hii ni rahisi na hospitali nyingi wanafanya.

2. Kufanya Physiotherapy ya Kitaalamu – sio dawa

Hasa targeting:

Peroneal nerve glides

Strengthening ya gluteus medius

Ankle dorsiflexion exercises

Myofascial release ya calf + tibialis anterior


📌 Hii mara nyingi hutibu asilimia 60–70 ya watu wenye dalili kama zako.

3. Kama CECS inathibitishwa (kama wataalam watadhani hivyo):

Dawa haziwezi kutibu CECS.
Matibabu ni:

Physiotherapy maalum

Kubadilisha gait / namna ya kutembea

Na ikishindikana kabisa, watu wachache hufanyiwa fasciotomy surgery



---

📌 Nikuombe kitu kimoja muhimu

Nipe majibu ya maswali haya ili niweze kukupa direction sahihi zaidi:

1. Maumivu yako yanakaa muda gani ukianza kutembea?

Dakika ngapi baada ya kuanza kutembea ndipo moto unaanza?

2. Ukikoma kutembea – maumivu yanapotea haraka au polepole?

Mfano baada ya dakika ngapi?

3. Umefanya X-ray, MRI au Doppler ya mguu?

4. Unahisi mguu unakuletea dalili upande wa juu wa paja/kiuno pia au ni chini tu?

5. Hali hii ilianza ghafla au polepole?
 
Mkuu mwenzio joints kidogo zinifilisi, nilizunguka Hospitals kubwa karibia zote lakini wapi, nimekaa na ugonjwa kwa zaidi ya miaka kumi magoti yalikuwa yanajaa balaa nikitembea au kuyakunja. Nilikuja kupona kwa miti shamba kutoka Kagera huko na wewe jaribu kutumia miti shamba maana nilikuja gundua kuna magonjwa mengine ni yakibiologia kuyatibu hospital ni ngumu
Ndio hivyo mkuu nami nataka kuhmia huko sasa hivi nijaribu bahati yangu.
 
Tafuta majani ya mnyonyo saga alafu uchue mguu.usipopona Utakuwa umerogwa
 
Kutoka mtandaoni wamesema hivi


📌 Muhtasari wa Dalili Zako

Umeeleza kuwa:

1. Mguu wa kushoto tu unaouma na kukosa nguvu unapow TEMBEA tu

Ukikaa: hakuna maumivu

Ukisimama: hakuna maumivu

Ukikimbia: hakuna maumivu

Ukiendesha baiskeli: hakuna maumivu

Unapotembea: mguu unakua mzito kuinua, misuli inakakamaa, kuna moto, unatembea ukikandamiza kwa vidole.


2. Tatizo lina miaka 2

3. Umefanya vipimo vingi (NCT, Thyroid, Vitamin B12) – vyote vinaonekana NORMAL

4. Dawa ulizopewa ni za maumivu + neva – hazijasaidia hata kidogo


---

📌 Hii Dalili Inafanana Sana na Tatizo Moja Kubwa Sana:

➡️ Chronic Exertional Compartment Syndrome (CECS)

Hii ni condition inayotokea misuli inapokaza/kuvimba unapotembea, na hewa/damu inashindwa kupita — maumivu hutokea tu wakati wa kutembea. Wakati ukikimbia au baiskeli huwa hakuna maumivu kwa sababu group ya misuli inayotumika ni tofauti.

Dalili zinazoendana na CECS:

Maumivu yanayoanza tu ukianza kutembea

Mguu unahisi mzito kuinua ("foot drop feeling")

Moto / kukakamaa kwa misuli

Hakuna maumivu ukiwa umekaa au umesimama

Matokeo ya vipimo vya neva huwa NORMAL

Dawa hazifanyi kazi


Hii condition huwa haionekani kwenye X-ray, MRI, NCT wala damu. Inaonekana kwa compartment pressure test – ambacho hospitali nyingi TZ hawafanyi.


---

📌 Sababu ya Pili Inayokaribia:

➡️ Peroneal Nerve Entrapment (kwa upande wa goti la kushoto)

Nerve inaweza kukandamizwa mahali fulani kwenye kifundo cha goti au upande wa nje, na:

Inasababisha mguu kuwa mzito wakati wa kutembea

Hakuna maumivu ukiwa umekaa au ukikimbia

NCT wakati mwingine inaonekana NORMAL kwa sababu tatizo hutokea tu misuli ikitumika



---

📌 Sababu ya Tatu:

➡️ Gluteus Medius Weakness / Left Hip Muscle Collapse

Misuli ya paja la juu na nyonga ikidhoofika, unapoanza kutembea mguu wa kushoto unashindwa "kuinua" na unahisi mzito.


---

📌 Nini KINACHOTHIBITISHA kuwa sio:

Sio mgongo (sciatica) — kwa sababu hiyo ingesumbua kwa muda wote, si kutembea tu.

Sio arthritis — ungesikia maumivu ukisimama au kukimbia.

Sio matatizo ya mzunguko (vascular) — ungepata baridi, kufa ganzi, au rangi ya mguu kubadilika.

Sio vitamin deficiency — B12 yako isingekuwa normal.



---

📌 Hivyo, uwezekano mkubwa ni:

🥇 Chronic Exertional Compartment Syndrome (CECS)

🥈 Peroneal nerve entrapment
🥉 Hip/pelvic muscle imbalance


---

📌 SULUHISHO HALISI

Kwa kuwa umekwisha tembea hospitali zote kubwa na dawa hazifanyi kazi, hatua inayofuata inawezekana:

1. Kufanya vascular Doppler ultrasound ya mguu (ili kuondoa peripheral artery issues)

Hii ni rahisi na hospitali nyingi wanafanya.

2. Kufanya Physiotherapy ya Kitaalamu – sio dawa

Hasa targeting:

Peroneal nerve glides

Strengthening ya gluteus medius

Ankle dorsiflexion exercises

Myofascial release ya calf + tibialis anterior


📌 Hii mara nyingi hutibu asilimia 60–70 ya watu wenye dalili kama zako.

3. Kama CECS inathibitishwa (kama wataalam watadhani hivyo):

Dawa haziwezi kutibu CECS.
Matibabu ni:

Physiotherapy maalum

Kubadilisha gait / namna ya kutembea

Na ikishindikana kabisa, watu wachache hufanyiwa fasciotomy surgery



---

📌 Nikuombe kitu kimoja muhimu

Nipe majibu ya maswali haya ili niweze kukupa direction sahihi zaidi:

1. Maumivu yako yanakaa muda gani ukianza kutembea?

Dakika ngapi baada ya kuanza kutembea ndipo moto unaanza?

2. Ukikoma kutembea – maumivu yanapotea haraka au polepole?

Mfano baada ya dakika ngapi?

3. Umefanya X-ray, MRI au Doppler ya mguu?

4. Unahisi mguu unakuletea dalili upande wa juu wa paja/kiuno pia au ni chini tu?

5. Hali hii ilianza ghafla au polepole?
Mkuu samahani kwa kukuchelewesha,mguu wangu unapotulia au unapoamka basi huwezi amini hata ukimwambia mtu unauma atakushangaa.

Ninapoanza kutmbea ndani ya dakika 5 tu basi yanaanza maumivu na step ya kutembea inabadirika,hivyo utatembea kila aina ya ubabaishaji ilimradi usonge mbele.

Ninapopumzika nayo maumivu htulia chap japo utasikia chini ya nyayo kunachomchoma kwa mbali ila sio endelevu.

Kuna muda nasikia maumivu chini ya kiuno japo sio sana
 
Nina changamoto ya kusumbuliwa na mguu,sasa unafikisha mwaka wa 2, mguu huu unaouma ni wa kushoto tu.

Huu mguu unauma na kukosa nguvu ninapotembea tu,lakini kama nakaa,nasimama au kukimbia hata ukiendesha baiskel husikii maumivu yeyote ,ila ninapotembea aisee mguu hauna nguvu kabisa(MZITO KUINUA).

Sas ninapolazimisha ndio unasikia unawaka moto,yaan kama misuli imekakamaa,na hapo natembea kwa msaada wa vidole kukandamiza chini.

Hali hii imenisukuma kwenda hospital ndogo mpaka kubwa ikiwemo DAR GROUP NA MLOGANZILA.

Huko MLOGANZILA nikaandikiwa vipomo na nikafanya vyote,nikaanza kutumia tiba lakini hakuna hata dalili yeyote ile.

Vipimo nilivyopima
1:NCT
2:SERUM VITAMIN B12
3:I+BAIC
4:TSH
5:FT3
6:FT4

MAJIBU:

Dawa nilizopewa
PANTOPRAZOLE
NAT B
PREGABIN
MELOXICAN
NEURO TON

Hivyo basi kama kuna mtu alishakutana na kadhia hii,au kufahamu basi anaweza nipa mwongozo. NAUMIA SANA,HASA KWENYE UTAFUTAJI MGUU UNANIPA WAKATI MGUMU SANA

SHUKRANI
Mkuu madokta wetu nao hawa basi tu, mimi nilikua na tatizo hilo hilo la mguu wa kushoto kuuma na kupoteza nguvu ,
Maumivu yalizidi mpaka kufikia kwenye pumbu,
Yakifikaje sijui
Majamaa walinipa mpaka sindano za UTI pigwa midawa mpaka nikawa nanuna dawa,
Siku moja nikaandika dalili zangu google tu kumbuka hapo imepita kama miaka 15 hivi,
Mwenyewe ndio nakuja kugundua ugonjwa nilionao unaitwa SCIATICA PAIN maelezo yake na images zake zilikua vile vile yani,
 
Back
Top Bottom