muuza bucha Member Joined Sep 8, 2014 Posts 81 Reaction score 9 Dec 13, 2014 #1 Jamn eee mwenye tv aina ya flat screen mtumba maeneo ya moshi mjini na maeneo ya kcmc kwa moshi kwa 150000 za kitanzania anitafute kwa e mail hii msellefreddie@gmaim.com
Jamn eee mwenye tv aina ya flat screen mtumba maeneo ya moshi mjini na maeneo ya kcmc kwa moshi kwa 150000 za kitanzania anitafute kwa e mail hii msellefreddie@gmaim.com
A Ashki Majununi Member Joined Nov 27, 2014 Posts 73 Reaction score 21 Dec 13, 2014 #2 Kwa bei hiyo utapata flat kwa mbele ila kwa nyuma ina wowowoo!
M meezy JF-Expert Member Joined Apr 5, 2014 Posts 689 Reaction score 1,218 Dec 13, 2014 #3 Duuuuh'flat screen 150..ata kam mtumba,labda iwe scraper hyo
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 31,148 Reaction score 88,819 Dec 13, 2014 #4 Hizo za kichina Singsung tu 24" bila 300,000k hupati. Hiyo pesa nunua Simu mzee flat screen.
I instagramboy JF-Expert Member Joined Oct 16, 2014 Posts 1,521 Reaction score 346 Dec 13, 2014 #5 Secret Service said: Hizo za kichina Singsung tu 24" bila 300,000k hupati. Hiyo pesa nunua Simu mzee flat screen. Click to expand... Ahahahahhaha namimi ndo nimeshangaaa flat screen kwa 150
Secret Service said: Hizo za kichina Singsung tu 24" bila 300,000k hupati. Hiyo pesa nunua Simu mzee flat screen. Click to expand... Ahahahahhaha namimi ndo nimeshangaaa flat screen kwa 150
Kaplizer JF-Expert Member Joined Apr 27, 2014 Posts 726 Reaction score 596 Dec 13, 2014 #6 Lete 190,000 nikuuzie original samsung flatscreen inch 19 nimeitumia miezi miwili tu.. Nipigie 0654838131
Lete 190,000 nikuuzie original samsung flatscreen inch 19 nimeitumia miezi miwili tu.. Nipigie 0654838131
Victor wa happy JF-Expert Member Joined Apr 24, 2013 Posts 11,660 Reaction score 11,659 Dec 13, 2014 #7 Labda inch 18 au flat ya mbele
Mamndenyi Platinum Member Joined Apr 11, 2011 Posts 44,606 Reaction score 64,451 Dec 13, 2014 #8 Una utani na wachagga wewe.
Saint Ivuga JF-Expert Member Joined Aug 21, 2008 Posts 55,028 Reaction score 59,657 Dec 13, 2014 #9 Kaplizer said: Lete 190,000 nikuuzie original samsung flatscreen inch 19 nimeitumia miezi miwili tu.. Nipigie 0654838131 Click to expand... Hio si ni sawa na desktop?
Kaplizer said: Lete 190,000 nikuuzie original samsung flatscreen inch 19 nimeitumia miezi miwili tu.. Nipigie 0654838131 Click to expand... Hio si ni sawa na desktop?
vanmedy JF-Expert Member Joined Oct 12, 2011 Posts 2,703 Reaction score 1,408 Dec 13, 2014 #10 meezy said: Duuuuh'flat screen 150..ata kam mtumba,labda iwe scraper hyo Click to expand... mkuu kuna flat screen .. na flat tv ...usichanganye... flat screen tv kwa bei hiyo anapata ila flat tv labda ya 14' inches tena lcd
meezy said: Duuuuh'flat screen 150..ata kam mtumba,labda iwe scraper hyo Click to expand... mkuu kuna flat screen .. na flat tv ...usichanganye... flat screen tv kwa bei hiyo anapata ila flat tv labda ya 14' inches tena lcd
M meezy JF-Expert Member Joined Apr 5, 2014 Posts 689 Reaction score 1,218 Dec 13, 2014 #11 Oooho'mm nlikuwa cjui flat t.v...
mathematics JF-Expert Member Joined Feb 21, 2012 Posts 3,324 Reaction score 1,116 Dec 13, 2014 #12 kwa bei hiyo uatapata flat tv ya mbao:glasses-nerdy:
vanmedy JF-Expert Member Joined Oct 12, 2011 Posts 2,703 Reaction score 1,408 Dec 14, 2014 #13 Secret Service said: Hizo za kichina Singsung tu 24" bila 300,000k hupati. Hiyo pesa nunua Simu mzee flat screen. Click to expand... singsung ni product kutoka SINGAPORE (four tigers)... usikariri mkuu
Secret Service said: Hizo za kichina Singsung tu 24" bila 300,000k hupati. Hiyo pesa nunua Simu mzee flat screen. Click to expand... singsung ni product kutoka SINGAPORE (four tigers)... usikariri mkuu
vanmedy JF-Expert Member Joined Oct 12, 2011 Posts 2,703 Reaction score 1,408 Dec 14, 2014 #14 mathematics said: kwa bei hiyo uatapata flat tv ya mbao:glasses-nerdy: Click to expand... mnamzogoa mtoa mada... yeye anataka LUNINGA YENYE KIOO MSAWAZO (FLAT SCREEN) sio FLAT TV..
mathematics said: kwa bei hiyo uatapata flat tv ya mbao:glasses-nerdy: Click to expand... mnamzogoa mtoa mada... yeye anataka LUNINGA YENYE KIOO MSAWAZO (FLAT SCREEN) sio FLAT TV..
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 31,148 Reaction score 88,819 Dec 24, 2014 #15 vanmedy said: singsung ni product kutoka SINGAPORE (four tigers)... usikariri mkuu Click to expand... 😀 sawa kiongozi
vanmedy said: singsung ni product kutoka SINGAPORE (four tigers)... usikariri mkuu Click to expand... 😀 sawa kiongozi