Mwenye Taarifa ya ajira za walimu wa Arts

Mwenye Taarifa ya ajira za walimu wa Arts

Wazabanga kuku

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2016
Posts
264
Reaction score
381
Hivi naomba kuuliza mpaka sasa serikali kupitia TAMISEMI na utumishi wametoa kauli gani juu ya mustakabali wa ajira za walimu wa sanaa, manake naona wanataja taja tu walimu wa sayansi sasa hili kundi kubwa la walimu wa arts linapelekwa wapi?
 
Hivi naomba kuuliza mpaka Sasa serikali kupitia tamisemi na utumishi wametoa kauli Gani juu ya mustakabali WA ajira za walimu WA Sanaa ,manake naona wanataja taja tu walimu WA sayansi Sasa hili kundi kubwa la walimu WA arts linapelekwa wapi
Ndugu tuangalie upande mwingine wa maisha,nionavyo mimi hakuna ajira, bora tu tuendelee na mambo mengine kama kilimo
 
Ninachukizwa sana na kauli ya serikali "Ajira za walimu wa sayansi na hisabati ambazo zimekwisha kutangazwa"
 
Ajira zitamwagwa kama njugu 2019 mwishoni endeleeni kusoma namba
 
Hao wa sayansi wenyewe wameachwa kwenye mataa sembuse wa sanaa ambao hata kuwataja tu ni kama vile kulamba nyongo!!
 
Back
Top Bottom