Mwenye Taarifa Usaili za NHIF

Mwenye Taarifa Usaili za NHIF

gracious86

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2011
Posts
437
Reaction score
55
Dear members,

Nauliza mwenye taarifa kuhusu zile kazi za NHIF zilizotangazwa karibu na mwishoni mwa mwaka jana kama wameshafanya shortlisting.

Mwenye kuwa na taarifa tufahamishane tafadhali....

Thank you.
 
Habari zenu.

Kuna mwenye tetesi kuhusu usail NHIF? au ndo kimya kimya kama BOT?
 
dear members, nauliza mwenye taarifa kuhusu zile kazi za nhif zilizotangazwa karibu na mwishoni mwa mwaka jana kama wameshafanya shortlisting! mwenye kuwa na taarifa tufahamishane tafadhali....

Thank you.

bado ila mwezi huu i think
 
Kuna sehemu ukiaply unatakiwa uendelee kufunga na kuomba,BOT,NSSF,TANAPA,TRA,NHIF,TCRA.Ukiaply huko fanya kama mpanzi aliepanda mbegu shambani wewe subiri uone kama zitaota tena usubiri bila kupiga kelele
 
Kuna sehemu ukiaply unatakiwa uendelee kufunga na kuomba,BOT,NSSF,TANAPA,TRA,NHIF,TCRA.Ukiaply huko fanya kama mpanzi aliepanda mbegu shambani wewe subiri uone kama zitaota tena usubiri bila kupiga kelele

Hakika
 
Hata mim nasikilizia huo mchakato wa nhif wakitoa short tuambiane
 
Wadau mambo vipi.

Nauliza vipi hawa Jamaa wameita watu tayari kwa usaili or vipi? Kama kuna mwenye taarifa tafadhali tufahamishane.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom