Mwenye PC pitia hapa

October man

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2017
Posts
3,632
Reaction score
5,023
Natafuta PC iwe na uwezo mkubwa, graphics card ya maana
HDD 500
Ram 4
Core i5
processor 8
good condition,
Bettry life 6 hours

Appearance nzuri, iwe nyembamba, iwe mpya, iwe na chaji yake na pad za kuchezea game, iwe na warrant mwaka mmoja, iwe na begi lake la PC iwe na flash ya nyongeza.

Bei isizidi 150,000/=
 
Hapo kwenye 150,000 ngoja waje
 
 
Kwa bei hiyo nicheki pm nikupatie chap chap
 
we jamaa hatari,vigezo hatari...bei 150...zikipatikana nyingi ntahitaji pia aisee
 
Hiyo Kes 150,000 kwa hela ya Tsh=3,150,000.

Budget yako Nzuri dogo
 
***** kwa hio bei hata compyuta first generatio hupati
 
Acha ujinga, shenzi taipu!
 
NJOO nikupe
DELL LATITUDE D620 kwa bei hiyo
specs
RAM 1GB
CPU: CORE 2 DUO 1.7GHz
GPU 251mb
Battery lifetime without ac adapter 5minutes
 
NJOO nikupe
DELL LATITUDE D620 kwa bei hiyo
specs
RAM 1GB
CPU: CORE 2 DUO 1.7GHz
GPU 251mb
Battery lifetime without ac adapter 5minutes
 
Mimi mnayo kaka naitaji 100000/= tu kaka
 
sasa kama unataka mpya siuende dukan
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…