Nduguu yangu hv ulishawah ona kitabu cha ngaiza wwSoma vitabu upate maarifa wewe achana na mambo ya vitini vitakupoteza
Sent using my infinix hot 6 pro
Au kusoma tu hata siku mmojaSoma vitabu upate maarifa wewe achana na mambo ya vitini vitakupoteza
Sent using my infinix hot 6 pro
Nimesha fanya hvyo lakn wapo kmya sijui nini tatzoIngia facebook kuna page yake ya hopegen book Tz,watumie message watarespond utajipatia nakala yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
A level is something else aisee...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Hivi nyie wanafunzi mnaosoma science
Mnapata wap muda wa kuperuzi jf