MWENYE NAMBA YA TCU ANISAIDIE

MWENYE NAMBA YA TCU ANISAIDIE

Mkuu naomba unfahamishe foundation kwa sis walim wahitim wa diploma tunasoma masomo mangp??
 
Mkuu naomba unfahamishe foundation kwa sis walim wahitim wa diploma tunasoma masomo mangp??
Masomo yapo sita unatakiwa ukaze kweli yaan ile mitihan ni kama unareseat na usimamiz wake ni wa hali ya juu nyakati za mitihan
 
Masomo yapo sita unatakiwa ukaze kweli yaan ile mitihan ni kama unareseat na usimamiz wake ni wa hali ya juu nyakati za mitihan
bro samahan iv ukitaka kusoma degree mwaka mwingne inabidi usiapply kabisa mpaka huo mwaka? MF mm nmemalza mwaka huu diploma ila namaan nsiapply kabsa mpaka mwaka kesho ambapo ndo nataka niendelee kusoma?
 
Omba kama una vigezo
bro samahan iv ukitaka kusoma degree mwaka mwingne inabidi usiapply kabisa mpaka huo mwaka? MF mm nmemalza mwaka huu diploma ila namaan nsiapply kabsa mpaka mwaka kesho ambapo ndo nataka niendelee kusoma?
 
Back
Top Bottom