BOFREE
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 985
- 1,297
vibali vya tax hailing(uber) na private tax vinatolewa na LATRA zamani sumatra na kama haujakata ivyo vibali ndio unakua tax bubu yaana hauna vibali sasa iweje kazi ya latra wakamate halmashauri wakati halmashauri hawana mamlaka ya kumpa mtu kibali cha tax halafu eti faini 320,000 inazidi hadi faini ya trafiki
chamzo ilikua ivi nikozangu misele mjini kati mara katokea tarura anataka kunikatia risiti ya paking nikamwambia mi sikai naondoka muda huu kamaindi kumbe kaenda kuleta watu wa halmashauri eti nafanya tax bubu nikawauliza tax bubu wenye mamlaka ya kukamata si latra na kama ni kosa lingine ni tarafic police nikalazimishwa nilipe 320,000 daa inchi hii
chamzo ilikua ivi nikozangu misele mjini kati mara katokea tarura anataka kunikatia risiti ya paking nikamwambia mi sikai naondoka muda huu kamaindi kumbe kaenda kuleta watu wa halmashauri eti nafanya tax bubu nikawauliza tax bubu wenye mamlaka ya kukamata si latra na kama ni kosa lingine ni tarafic police nikalazimishwa nilipe 320,000 daa inchi hii