Mwenye majira ya muda wa kufturu atuwekee

rallphryder

JF-Expert Member
Jan 24, 2015
3,630
1,444
Yaani, wengine tunasafirisafiri humu bongo Mara kwa Mara tunaomba mwenye majira sahihi kwa mikoa yote tafadhali. Wa billah tawfiq.
 
Hakuna ratiba ya kudumu, kufuturu kuwa lazima iwe saa fulani, muda waweza badilika inategemea machweo ya jua. Ila kama upo kwenye mji na kuna msikiti utasikia adhana ya Swala Magharibi, jua muda wa kufuru tayari. Lakini nikuulize mkuu huu ndiyo Ramadhani yako ya kwanza kufunga?
 
Back
Top Bottom